#UKWELI UMUWEKA MTU HURU MAPENZI HAYASAIDII KUFICHA UKWELI
Binafsi naamini katika mambo kadhaa ili team ziweze kuwa kwenye ubora kwanzia mchezaji mmoja mmoja adi team nzima
Wachezaji uwa wapo aina mbili vipaji asilia( #natural #talented)na vipaji vya kutengenezwa ( &man #made #talented) licha ya kuwepo aina hizi mbili wote hawa kwa wenzetu huko uandaliwa #academy
Na kufanywa kuwa #developed kwa kile walicho nacho ndio maana kwa wenzetu ni sheria( legal) team kuwa na team za vijana ok
Je nini tafsiri ya nilichozungumza juu uko ni kwamba kocha ana nafasi kubwa tu kumfanya mchezaji kuwa bora zaidi. academy mfano la masia au castilla awachezi tu bali wana wakufunzi wa kuwasaidia kuwa bora
Vivyo hvyo ata senior team ili mchezaji awe bora hawezi kujitegemea yeye tu bali kuzingatia ni kipi anaelezwa na mkufunzi wake
Unaposema #tactics au #philosophy hizi zinajengwa kulingana na uwezo wa mchezaji ulivyo na hii inamfanya afanikiwe zaidi
Sasa nashindwa kuelewa mtu anaposema wachezaji wa arsenal ni wabovu ila kocha ni bora haya ni maajabu
Jukumu la kocha sio kupanga tu wachezaji bali kuwafanya kuwa bora zaidi ndani ya mifumo yake kiuchezaji hvyo wachezaji wanakuwa developed chini ya kocha na sio wao wenyewe
Je mifumo iliyopo arsenal imedevelop nani kama wachezaji wako underperformances tatizo linaanza kwa mkufunzi ni effort gani kaweka kuwafanya kuwa bora
Leo hii ukizungumzia mane huyu basi kawa developed zaidi chini ya klopp unapozungumza historia ya ronaldo basi uwezi acha mtaja fergason yeye mwenyewe anamuita baba
Kama kocha hana nafasi kukuza kiwango ata academy hazina maana watu watoke tu kitaa waje kucheza kwa vile wanaweza
Mpra una njia zake mpra ni science na sio politics una formular
Aaron