Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Ornstein [The Athletic Q&A]: "Arsenal completely reject suggestions they are looking at potential replacements for Emery. Whether or not that's true, they can't say anything else."
Hiyo haina shida mkuu, hata asipofunga the entire season, Tunachojua sisi Pepe is our best player.Ndugu zanguni Pepe katika mechi 12 kafunga goli moja tu tena la penati
Umemuona huyo Soyuncu, tulimtaka kipindi kile tukadharau, hao leicester wamemchukua amekuwa kisiki nowadays wamemsahau Magwaya.
Hata Salah pamoja na Wachezaji Wengi Wa Liverpool Wamekua Bora sana Chini ya klop,.#UKWELI UMUWEKA MTU HURU MAPENZI HAYASAIDII KUFICHA UKWELI
Binafsi naamini katika mambo kadhaa ili team ziweze kuwa kwenye ubora kwanzia mchezaji mmoja mmoja adi team nzima
Wachezaji uwa wapo aina mbili vipaji asilia( #natural #talented)na vipaji vya kutengenezwa ( &man #made #talented) licha ya kuwepo aina hizi mbili wote hawa kwa wenzetu huko uandaliwa #academy
Na kufanywa kuwa #developed kwa kile walicho nacho ndio maana kwa wenzetu ni sheria( legal) team kuwa na team za vijana ok
Je nini tafsiri ya nilichozungumza juu uko ni kwamba kocha ana nafasi kubwa tu kumfanya mchezaji kuwa bora zaidi. academy mfano la masia au castilla awachezi tu bali wana wakufunzi wa kuwasaidia kuwa bora
Vivyo hvyo ata senior team ili mchezaji awe bora hawezi kujitegemea yeye tu bali kuzingatia ni kipi anaelezwa na mkufunzi wake
Unaposema #tactics au #philosophy hizi zinajengwa kulingana na uwezo wa mchezaji ulivyo na hii inamfanya afanikiwe zaidi
Sasa nashindwa kuelewa mtu anaposema wachezaji wa arsenal ni wabovu ila kocha ni bora haya ni maajabu
Jukumu la kocha sio kupanga tu wachezaji bali kuwafanya kuwa bora zaidi ndani ya mifumo yake kiuchezaji hvyo wachezaji wanakuwa developed chini ya kocha na sio wao wenyewe
Je mifumo iliyopo arsenal imedevelop nani kama wachezaji wako underperformances tatizo linaanza kwa mkufunzi ni effort gani kaweka kuwafanya kuwa bora
Leo hii ukizungumzia mane huyu basi kawa developed zaidi chini ya klopp unapozungumza historia ya ronaldo basi uwezi acha mtaja fergason yeye mwenyewe anamuita baba
Kama kocha hana nafasi kukuza kiwango ata academy hazina maana watu watoke tu kitaa waje kucheza kwa vile wanaweza
Mpra una njia zake mpra ni science na sio politics una formular
Aaron
Chini Ya Unai Angeonekana Mchomaji tu, hamna Kocha MleUmemuona huyo Soyuncu, tulimtaka kipindi kile tukadharau, hao leicester wamemchukua amekuwa kisiki nowadays wamemsahau Magwaya.
Mkuu achaga bangi basiYap juve wanamtaka Auba wanawapa Demiral + €25
Kuna jamaa alikuwaga Ana kazi ya kumtetea unai , sijui alipoteleaga wapiHata Salah pamoja na Wachezaji Wengi Wa Liverpool Wamekua Bora sana Chini ya klop,.
Klop Katengeneza Mfumo Ambao Wachezaji wake Wanafit,.
Bodi inaamini unai ni kocha mzuri, wanataka wafanye usajili tena january kwa kudhani timu itakaa sawa, lakini mimi naona hata Unai apewe wachezaji wa dunia nzima we will still be the average team.Chini Ya Unai Angeonekana Mchomaji tu, hamna Kocha Mle
Hiyo ndio maana ya timu kuwa na kocha, sio kocha anarudisha viwango vya wachezaji nyuma, halafu unakuta eti anasema "we need time"....mimi nadhani huwa anamaanisha "we need time to destroy everything in this club."Hata Salah pamoja na Wachezaji Wengi Wa Liverpool Wamekua Bora sana Chini ya klop,.
Klop Katengeneza Mfumo Ambao Wachezaji wake Wanafit,.




I think we need time under emery mkuu lets support him, au wewe unaonajePablo Bentancur (Wakala wa Torreira):
“Ilikua ngumu kumuuza Torreira kipindi kile (dirisha lililo pita), lakini kwa sasa sijui ikoje, lakini nafikiri Arsenal wanataka kumbakiza. Kwenye majukumu mapya (kucheza box to box) hajisikii vizuri lakini tunaheshimu maamuzi ya kocha ila mwisho wa yote tutaona kitakacho tokea"
#coyg![]()
![]()




.
Ah wapi mm nilishamkataa huyu kocha mech ya 3 na Liverpool ,nikasema huyu sio kocha ni mwehuI think we need time under emery mkuu lets support him, au wewe unaonaje.
Aiseeh huyu angewafaa sana Arsenal maana timu ingepiga tik tak la hatari hapo England,BREAKING NEWS:- Luis Enrique amerudi kwenye nafasi yake UKOCHA timu ya taifa Spain.
Tumeshamkosa, tufocus kumchukua Morinyo
Umekuja kutupa kampaniAcha kabisa mkuu. Tunajuta kumpa kazi huyu kanjibai