Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tatizo la mashabaki wa arsenal huko london ni mafala. wafanye mgomo wa kutoingia emiretes mpaka atakapo fukuzwa huyo muhindi hata kama wamelipia season nzima...
 
The Gooners wanasikitisha sana kwa sasa, huyu Emery hana tactical skills kwa ligi ya uingereza, amefeli sana, hata Wenger katika msimu aliofanya vibaya sana, hakushuka kiasi hiki, it's a shame board members wanalifumbia macho. Upo na front three ya Lacca, Auba na Pepe, upo na namba 10 very skilled ya Ozil na tangu wasajiliwe hao hawajawahi kuwa pamoja na ku-bond.

Aje Enrique hapo alete tactics zinazoeleweka tucheze mpira, akija Mourinho hakika tutafika mbali japo identity ya arsenal itapotea mazima.
 
Sisi The gunners HALISI tuko na Unai kuna watu humu wamevamia jukwaa letu wakimtuhumu kocha wetu ambaye mwaka jana kidogo tu atupeleke top four,mtuache na team yetu "once a gunner always ......
 
Sisi The gunners HALISI tuko na Unai kuna watu humu wamevamia jukwaa letu wakimtuhumu kocha wetu ambaye mwaka jana kidogo tu atupeleke top four,mtuache na team yetu "once a gunner always ......
Sisi sio wa kulilia big4 kijana ,sisi sio timu ndogo kama chelsea
 
Sisi The gunners HALISI tuko na Unai kuna watu humu wamevamia jukwaa letu wakimtuhumu kocha wetu ambaye mwaka jana kidogo tu atupeleke top four,mtuache na team yetu "once a gunner always ......
Wewe ni mamluki sio Shabiki damu wa Arsenal
 
Wewe ni mamluki sio Shabiki damu wa Arsenal
Hakuna shabiki wa damu Tanzania, ulisha sikia mshabiki wa Arsenal kajiua Tanzania?Mimi na wewe ni mashabiki lakini sio wa damu,Tuko nyuma ya Unai ,apewe mda
 
ESPN report that former Barcelona manager Luis Enrique is not going to return to football. Back in June, he left the position of Spain head coach for personal reasons.
The man has to go through a horrible thing - his nine-year-old daughter passed away from osteosarcoma (a form of bone cancer) and it's not something that goes away easily.
That's why it's highly unlikely Enrique will take Arsenal job despite recent rumours.
Earlier, the Spanish football journalist Kike Martin claimed Arsenal's head of football Raul Sanllehi has made preliminary contacts with former Barcelona boss Luis Enrique.
 
Gooners Let give unai more time to prove himself, uzuri bodi imejifunga yenyewe, si wamesema paka December kama hana progress anafutwa kazi.Hii ishu ya Unai ni nyepesi sn, sio km Wenger hatukuwa na Uhakika ataondoka lini.
 
It's just over a month and a half before January transfer window open. Here is Tribuna.com's guide on Arsenal's most likely purchases in the winter market.
According to the Premier League rules, the maximum squad size is 25 players and Arsenal have all 25. it means that if they buy anyone for the first-team, they need to get rid of someone else.
At the same time, a Premier league club can only have 17 non-'homegrown' players in each club squad.
Currently, the Gunners have 14 non-'homegrown' players in their first team:
Pierre-Emerick Aubameyang
Dani Ceballos
Sead Kolasinac
Alexandre Lacazette
Bernd Leno
David Luiz
Konstantinos Mavropanos
Shkodran Mustafi
Mesut Ozil
Nicolas Pepe
Sokratis
Kieran Tierney
Lucas Torreira
Granit Xhaka
It means there are 3 vacant spots for foreign players.
Let's not talk about the manager's position at the club and decide what could position on the pitch use some attention.
Midfielder
Granit Xhaka's sabbatical is taking quite some time. It's not clear how long he will emotionally recover after the Crystal Palace incident. And the rumours of his departure are also roaming around. So it wouldn't harm to look for someone who could replace him and make our midfield stronger.
It doesn't look like the Gunners have any other urgent needs in any other positions.
 
Unapaniki paniki nini? Utapata vidonda vya tumbo vikupelekee na shinikizo damu ,iga kwa washabiki wenzio utakufa team iko pale pale na inaendelea kuvurunda

Wala sijapaniki,

Mpira kwangu burudani,

Always nikiona mtu ni shabiki andazi kama wewe namuita MPUMBAVU,

Sijakosea kukuita mpumbavu mkuu,

narudia tena wewe ni mpumbavu,

soma upuuzi ulioandika hpo juu then jipige kifuani sema mimi ni MPUMBAVU
 
#AFC say that Raul Sanllehi and Vinai Venkatesham met with staff today in a pre-planned meeting. This is what they said: Sam Dean on Twitter
IMG_20191111_190526.jpeg
 
Unaambiwa kwenye bodi wanaotaka Unai awe kocha ni wengi , hivo Jamaa bado yupo sana

Na amepewa mechi 6 tu

HUU NI UPUMBAVU AMBAO SIJAWAHI KUUSHUHIDIA


"We firmly believe Unai is the right man for the job."

Unai Emery receives a public vote of confidence from the Arsenal hierarchy.

Full story

 
Back
Top Bottom