Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kapambane mtaa wa 10
 
Babu Anaelekea Baryen

Update: there has already been talks between @FCBayern and Arsene Wenger @BILD_Sport
 
Kwani umemwajili wewe?
 
kwa wale waliocheki hii mechi, hivi Mustafi alideserve kuwa man of the match
maana nimeacha kufuatilia mechi
 
Unai atafanya wachezaji wengi wazuri waondoke
View attachment 1257263
board ya arsenal ya kichoko sana, wanaonekana wamaana lakini hakuna kitu wapo wapo tu.

aliondoka ramsey, wilshere ,carzola, steve ( diamond eyes) wote wameondoka kizembe sana hawajuii kushaiwi mtu..

unaskia ozil, xhaka na leo torreira ni upumbavu sana, yoyote yanasababishwa na mbwa moja tu ambaye analetaa balaa njee na ndani.

Arsenal board ni ma hopeless kabisa.
 
Hii timu naionea huruma sana ...

Na bado tunaitaji Emery Unai aendelee kubaki ili tuone Arsenal ikibeba makombe
 
Shida ya arsenal si team ya mtu mmoja ni team ya watu wengi kwahiyo hadi wakae vikao ndo waamue

Na wakati huo wanawaza tukivunja mkataba na huyu kocha tutapata wapi pesa za kumlipa? Wakati siye wenyewe masikin wa kutupwa

Lakin kwetu Chelsea Roman akiamka tu kama kocha anazingua anamtupia mabeg yake anasepa na pesa analipwa

Hakuna sijui cha upuuz wa bod kuket sijui wanakunywa juice ya miwa
Hii timu naionea huruma sana ...

Na bado tunaitaji Emery Unai aendelee kubaki ili tuone Arsenal ikibeba makombe
 
Sven aliuwa sahihi, huyu muhindi achape lapa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…