Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
I said it ceballos was rubbish
HahahahahahahahahJaman usiku mwema ,
Presha ya kocha kutimuliwa ipande
Namihitaji Mourinho
Rekebisha sentensi yako ya mwisho ni "Liverpool b" sio LiverpoolHuyu koxha kweli bwege unamtoaje tolleira na kumuingiza ceballos wakati timu haina DM na unacheza na timu kama liverpool..


Arsenal yangu siiamini hata tukitangulia goli 4 dhidi ya mpinzani inabidi usubiri dk 90 kuhakikisha matokeo yaani imekuwa timu dhaifu mno mno mno








Arsenal yangu siiamini hata tukitangulia goli 4 dhidi ya mpinzani inabidi usubiri dk 90 kuhakikisha matokeo yaani imekuwa timu dhaifu mno mno mno



