Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

EMERY ANATAKA KUTUAMINISHA NINI KUHUSU TORREIRA KWAMBA NAE HAFIT MIFUMO YAKE

Football tunakitu tunahita versatility huu ni uwezo wa mchezaji kutumika zaidi ya nafasi moja kwa ufanisi mkubwa emery akitaka kutuamisha torreira ni attacking minded player pindi anapo mpa nafasi kuingia uwanjani

Akipenda tumia xhaka na matteo kama double pivot pengine akitumia xhaka kama DM peke yake na ukweli ni kwamba hapa hakuna mkabaji

Ndio maana mara nyingi akikaba mateo au xhaka utaona faul hawa ni attacking minded players ambao emery anataka kutuaminisha ni wakabaji

Ndani ya falsafa yake ya ukabaji kitu inayo mnyima nafasi kabisa torreira lakini hakuna usahihi juu ya hili team ambazo utakuta zinatumia attacking minded players wote apo CM

Basi jua team hiyo inadominate mchezo kwa kiasi kikubwa kutotoa nafasi kwa mpinzani kucheza zaidi je sisi tupo hivi la asha tunakaba mda mwingi team inajitaji mkabaji halisi kulinda backline

Nae ni torreira

We are the arsenal
IMG_20191028_073810.jpeg
 
KWA MUJIBU WA DAVID ORNSTEIN ALIONGEA HAYA JUU YA ARSENAL HASA KUHUSU DRESSING ROOM

Kwamba kwa sasa kocha kapoteza #clarity nimenukuu neno moja lenye maana kubwa zaidi ndani ya maelezo aliotoa ornstein je clarity ni kitu gani kwa wataalamu wa lugha hii nikikosea tafsri mtanirekebisha

Clarity ni kupoteza uwezo wa kueleweka kwa kile unaeleza au lugha nyingine tuseme lack of transparent hii ni kitu mbaya sana

Kama wachezaji hawakuelewi hivi team itaperform vipi ni ngumu ili team ifanye vyema lazima kuwepo maelewano kati yao na mkufunzi

Wengi wakasema mgomo unaweza kuwa sehemu pia mgomo sio mpaka mtu asiende mazoezini au uwanjani

Sababu anachogomea sio kunyimwa stahiki zake no bali hali isiyolizisha kati yao na mkufunzi hvyo wao hawana tatizo na taasisi ila

Kugoma ni kucheza chini ya kiwango action kama hizi zimetokea team nyingi tu players ni proffessional wanajua code of ethics

Awagomi tu hovyo bila mpamgilio wowote kocha ana kazi ya kufanya kupoteza clarity ni failure kubwa mno kwa kocha

Mtazamo tu sio vita
IMG-20191030-WA0000.jpeg
 
HUU NI MTAZAMO WANGU SILAZIMISHI MTU KUAMINI KAMA MIMI NAVYOAMINI

Mourinho akija Arsenal sasa hivi we will get good results. I am not sure of performances.

Lakini Emirates itakua ngome, na tabia ya kuwa soft itapotea walau kwa misimu miwili

I have always think Jose alikua anamuonea wivu Wenger. A comfortable job, with no huge pressure.

A job ambayo hupelekwi hupelekwi kama ng'ombe.

At Chelsea he had huge pressure, same at Man utd, same at Real Madrid.

Kazi ambayo Mourinho ali enjoy ni inter milan.

He thinks akija Arsenal atapewa hayo mazingira. *To build something over time*

Akija

-Kuingia Uefa inawezekana

-Kugombania Uefa inawezekana

-Kugombania ubingwa wa Uingereza inawezekana

-Kumfunga Guardiola na Klopp hata kwa technique mbovu zinazokera inawezekana.

With these assumption siwezi kukataa Mourinho kuja. Nitaweka hisia pembeni na kutumia akili zaidi.

Nitaweka moyo kule pembeni kabisa na kutumia akili na kichwa changu.

Nipate mafanikio hata kama ni ya miaka 3.
IMG-20191026-WA0007.jpeg
 
VIKOSI VINAVYOTARAJIWA KATI YA LIVERPOOL & ARSENAL

Predicted #AFC XI tonight: Martinez; Bellerin, Mustafi, Holding, Kolasinac; Torreira, Willock; Smith Rowe, Ozil, Martinelli; Lacazette [@Football_LDN]

Predicted #LFC XI tonight: Kelleher; Williams; Van den Berg; Joe Gomez; Milner; Keita; Ox; Lallana; Brewster; Elliott; Origi [Goal]



All the best Gunners
 
Arsenal defensive target Dayot Upamecano is unlikely to consider signing a new deal with RB Leipzig in order to force his way out of the club next summer. #AFC
 
JOSÉ MOURINHO ON ARSENAL'S PROBLEM...

"I Think the biggest problem down there is that they are not doing the obvious things correctly like they’re not playing the correct players in the correct positions...they’re not starting their best players, players like Lucas Torreira who I personally feel was one of the best players in the last World Cup and also for Arsenal playing as the base defensive midfielder, I really don’t understand this situation and also Özil...you have to understand that Mesut is not Messi or Ronaldo, he won’t carry your team single handed, he’s more of a creative genius and a creative genius is only as good as the attack in front of him, all these years at Arsenal he did not have the right players in front of him and now when he does, for some reason he is omitted entirely, people say he is lazy but they can’t be more wrong, Özil works very hard and the football for him it’s not a job like most of the players these days, football is his life, he enjoys football ...In England I have got the idea that people here will prefer guys who can run and run and run for 90 minutes, so even when those guys have a bad game people will say oh atleast he gave it his all, people in England don’t welcome smart runners and Özil is a smart runner...so I think people in England will take a runner over a creative genius.[On what would be Arsenal's best xi] I’d say Leno, Bellerin, Holding, David Luiz, Tierney, Lucas Torreira, Ceballos, Özil, Pepe, Aubameyang, Lacazette. “Why no Guendouzi?” Guendouzi is a fantastic talent but in my career I’ve seen time and time again youngsters with immense talent do nothing because they started starting regularly for their clubs and their desire to improve went with that, they became stale , I don’t want Guendouzi to end up like that, he has leadership qualities as well...I will like to say one thing that Arsenal on paper have one one of the best attacks in the league but are suffering from a lack of creativity"

You may hate him, but he’s spot on! It’s sad we finally have a a great attack for Özil. Not just one! But three amazing attacking players! And he can’t get a game! Emery really needs to fix up!
 
#MassimilianoAllegri has told his representatives to make a move to Manage Arsenal

He believes just a £125m budget would be enough to turn Arsenal into Title challengers.
[TBH]

Your thoughts??

Aiseeehhh mimi namtaka Mou hapo nina imani nae zaidi....ingawa Allegri sio mbaya tukiwa nae pia so kwangu mimi

1 .Mourinho
2 .Allegri

Faida ya Mourinho ni kuwa ameshakaa England na wapinzani wake anawajua vema yeye atakuwa anafanya mwendelezo tu wakati Allegri ataanza upya.......
 
PEA, Xhaka, Sokratis, Bellerin, Lacazette and David Luiz met with Emery and his 2IC and demanded that Ozil be drafted back into the first XI.

It is from this meeting that Emery asked Xhaka to apologize and he refused saying “it’s unheard of, for home fans to boo their own player, later alone Captain”.

Xhaka likely to be reprimanded by AFC but the players still happy with his as Captain.

Luiz also called for Torreira to start claiming him on DM provides a pivot for both defense and attack.

DC08 was citied as one to be benched and make way for Torreira.

Matteo Guendouzi too likely to get bench in the coming weeks.
IMG_20191027_191312.jpeg
 
Mfupa uliomshinda fisi mbwa atauweza? Au atauloweka?

Nadhani Arsenal wanajifunga mabomu kumpa kazi Morinyo, ni kocha ambaye bado anatumia mbinu za kizamani ambazo kwa sasa zinampa wakati mgumu.

Morinyo kuna aina ya wachezaji anaowataka kwenye kikosi chake ili apate matokeo na hao wachezaji wa aina yake ni wachache sokoni kwa sasa, mtagombana naye bure pale mtakapokwama kuvunja rekodi za usajili.

Ili ozil acheze free lazima atasajili viungo wakabaji wenye caliber kubwa kuliko mlionao sasa. Lazima asijili mabeki sio chini ya wawili wa nguvu jina la kolobaly lazima lije mezani.

Ni kocha mzuri sana, mafanikio yake lazima yaambatane na maumivu.
Kwan umesikia Arsenal haina hela za usajiri?

Mpaka anakubari hiyo kazi unadhan hatakuwa amekubaliana na matakwa ya klabu?

Kwasasa ilivyo achana na zile propaganda Arsenal ni wabahili sijui wana bajeti ya £45m

Josh kreonke alisema Timu kwasasa wanaimiliki 100% kuanzia mwaka Jana hivo watatoa hela inavyohitajika , na kwa Mara ya kwanza wametoa karibu £140m+ kwa summer na bado kuna £60m zilikataliwa na Leipzig kwa upemacano

Hivo walikuwa tayari kutumia hata £200m kwa dirisha moja .

Maisha yanabadilika , asilimia 99 ya bodi ya Arsenal ni mpya

Ikifanya kazi kwa karibu na Jorge's Mendez wakala wa Mourinho
 
Back
Top Bottom