MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,590
- 11,811
Unadhani Rahisi??MKO KIMYA SANA
wana ARSENAL msiogope mechi ya leo, Hata Daudi alimuua goliathi.
Mbinu za leo msipark basi, kamateni kiungo ya liverpool, zuia wale madogo liver pool wa kulia na koshoto wasimwage maji.
Sasa ni jukumu la kocha kuwapanga wachezaji watakaosahihisha makosa ya mechi iliyopita.
Kilalaheri majirani zetu.
60% Arsenal anashinda leo bila wasiwasi,Liverpool leo nusu ya F11 watakuwa ni watoto wa U23.MKO KIMYA SANA
wana ARSENAL msiogope mechi ya leo, Hata Daudi alimuua goliathi.
Mbinu za leo msipark basi, kamateni kiungo ya liverpool, zuia wale madogo liver pool wa kulia na koshoto wasimwage maji.
Sasa ni jukumu la kocha kuwapanga wachezaji watakaosahihisha makosa ya mechi iliyopita.
Kilalaheri majirani zetu.
Leo kuna Sura mpya za U23
baada ya kusemwa sana leo 100% Ozil anaanza kama captainHakuna kujitetea jipange kisaikolojia
Hakuna kujitetea jipange kisaikolojia
Nadhani Jifundishe kusoma kwa makini kabla ya kureply
Ulichokiandika hakina uhusiano na ulichoninukuu
Mimi just nimempa information niliyemnukuu tu kumueleza Kuwa leo Klopp atafanya rotation that's why mimewahusisha U23.
Sikupost kwa lengo la kueleza hali ya mchezo itakavyokuwa.
60% Arsenal anashinda leo bila wasiwasi,Liverpool leo nusu ya F11 watakuwa ni watoto wa U23.
Emery out halafu mtamchukua kocha gani atakayekubali kufundisha timu mbovu hivi.
Labda Mwinyi Zahara anaweza ila lazima ajifikirie mara mbili mbili
Inahitaji uwe na jicho la tatu kuelewa nilichoreply ???tumia ubongo kutafsiri......hapo maana yangu ni kuwa Liverpool wasije kupanga u23 ili badae waje na kisingizio kuwa iliyofungwa ni timuB,alafu Muhindi akajitengenezea profile yake....
Wapange full ili kama tukiwapiga tutamne au tukifungwa joto la Emery Out lipambe moto
Sasa nadhani hapo wewe ndio ujifunze kusoma na kutafsiri.......
Na Pogba bado hajafikia kuwa nahodha lakini ana adabu zote.
Hivi vitimu bwana, wanamzomea nahodha wao. Nahodha nae anawajibu kwa dharau,na anavua jezi na kusepa. Pogba pamoja na kutukanwa na mashabiki hajawahi kufanya jambo kama hili.
Uzi wa MUFC una heshimika sana.
Ina kila kitu..Wewe ndio mjinga kucoment kwenye timu usiyokuhusu,pilipili ya shamba inakuwashia nini,SISI WENYE TIMU YETU ndio tunaojua timu yetu ina kila kitu sasa ww ni swala lako ukubali au ukatae.
Kwa hiyo mtashinda..11 ATAMMPANGA SAKA AU MARTINELLI
HALAF 7 PEPE , 9LACCAZETE
HALAF AKITAKA ASIJIVURUGE KATIKATI NAMBA 6 AANZE TORREIRA HALAF 8 CEBALLOS NA 10 AMALIZE OZIL
BEKI BERALLIN , HOLDING , SOKRATIS NA TIERNEY
GOLINI MARTINEZ
YANI HAPO ANGALAU TUTAONA KABADILIKA
Ozil atakuwa Captain
Confirmed kesho mchezo na Liverpool
Duh..aisee hatari hii, ndio muindi wa betting anakopigia hela kwa watu kama hawa.60% Arsenal anashinda leo bila wasiwasi,Liverpool leo nusu ya F11 watakuwa ni watoto wa U23.
Huyo Baniani ni bora aondoke kwa gharama yoyote hata ikiwa leo tupigwe saba. Mimi nitakuwa happy tu.José & Mendes have been with Raul again this week.