Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Emery anasema bodi na yeyewakina nani hawamtaki arsenal board au Emery?!
Emery anasema bodi na yeyewakina nani hawamtaki arsenal board au Emery?!
Usipende kuongea kitu bila ushahid , mchezaji gan hajitumi kwenye mazoez ? Una ushahid?Arsenal mtalalamika kila msimu kwa sababu hamna wachezaji wa kufanya kazi. Mentality ya kitoto. No wonder mashabiki hamuoni wachezaji hawa wakiwaletea makombe. Kocha kaja anataka wachezaji wajitume kwenye mazoezi, alafu tuchezaji twenu tunaanza kulia lia. Sasa kweli hapo mtajenga timu?
RubbishBaadae uje kutetea hii kauli yako. Maana najua mnatafuta namna ya kujifariji
Raul alikana , Jana Emery kasema wanahusika wote na bodiOzil ni ishu ya bodi tusimlaumu Unai, Hawa wakina Raul na Vinai watakuwa wanabana ili asipate zile bonuses.
Wewe jiulize ishu ndogo tu, mchezaji anavuta £350k per week ndani ya Arsenal (bora ingekuwa Madrid au MUN hapo sawa), ...sasa uongozi unawezaje kukaa kimya ikiwa hata bench hayupo game ya 7 hii mfululizo.
Wanakufa vzrLeo Zaha hatofanya mzaha,lazima aondoke na kichwa cha mtu
Pembeni kule kuna kijana wa wetu Patric Van Aarlot hawezi kutuangusha. Tunawatakia kila lililojema
Timu zinaogopa salary hiyo,pia yeye mwenyewe anasema haondoki paka mwisho wa mkatabaKwa nini wasimuuze!!? Kuliko wanachomfanyia!.
Mkuu siku hizi adabu imekuja pumbavu. Hujibu commentsTuko uwanjani leo :Crystal Palace
Emirates Stadium
Saa 19:30 EAT
Martin Atkinson
EPL 10/38.
#coyg![]()
![]()





[@Arsenal] #afc


Mshaanza kutafuta sababu.Emery’s 100% getting sacked if we lose today




Sababu gan , mambo ya arsenal kama huyafahamu si unaulizaMshaanza kutafuta sababu.![]()