Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,179
Hajawai kufungwa na yeye akiwa uwanjani???asilete ufarasi wake hapa......huyu anakuwaga na mambo ya kike sana
Usilie kwa sauti hivyo,utatuliza na sisi waombolezaji. |
Asante. Wafiwa tunaingia ndani mara moja...Pile mkuu..
Liverpool =25 pts
Arsenal + Man utd= 25 pts
kawakosea nini uyuView attachment 1240702
Dah!!!Mzee haya mambo mtajadiliana kifamilia baada ya waombolezaji kupungua na kuondoka kabisa. Msimwage mchele kwenye kuku wengi mnajiabisha mbele ya waombolezaji
heshimu jukwaa ili aisee..kama ni matusi peleka sehemu nyingine.mambo ya amber rutty yameingilia vipi?!Arsenal hawana tofauti na amber rutty, wote nyuma kumeoza.
Kikawaida Arsenal akifungwa huwezi ona shabiki wa Liver akiwaponda. Nyie mahaba yenu huwa yamezidi kikomo. Hongereni kwa kupendana
We jamaa sio umesema klopp alipewa muda hapo juu hivyo patel nae apewe mudaWe jamaa tangu juzi umenichezea cheupe chekundu sijengi tena hoja na wewe.
Nakuuliza mambo ya Emery unajibu mambo ya klopp
hivi mechi zote alizocheza rashid na martial , manyumbu alipata point 3?Hivi mechi zote alizocheza Ozil na Lacazete, Arsenal alipata points 3?
Kaulizwa Iko wapi best eleven yakoEmery anasema "Arsenal controlled the game and created a lots of chance but failed to score"
Tulicontrol game, tulitengeneza chances ???? Sijui labda sisi tuliangalia mechi tofauti.
Afu anakera huyu jamaa hakubali kuwa ameshindwa anakwambia "we are working to improve"
Unaimprove nini sasa? Nani ana huo muda wa kukusubiri wewe uimprove, kuimprove nenda kwenu Sevilla huko wakakuvumilie,Mtu umepewa mwaka mzima bado paka leo unajifunza nini???,
mpira unaochezwa haueleweki, kutengeneza chance tatu za wazi kwetu imekua shughuli nowadays.
#Emeryout