DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
Lampard kafanya nini?????subiri msimu uishe mkiwa huko danger zone ndio uje kutupa majumuisho vizuri...unamsifia mtu hata game 10 za msimu bado......Ma legend kama Thierry Henry, Garry Neville, Giggs..na wengineo wamejaribu kuwa makocha lakini wameishia kufeli tu ..
Ila kwa Lampard imekuwa tofauti sana..
Kila la kheri Chelsea![]()
Weka akiba ya maneno

| #AFC

| #AFC