DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
OK subir kidogoKama Kuna Group La Whatsup La Arsenal Naomba Muniunganishe 0659 445750
@Aubameyang7 is up for the @PremierLeague Player of the Month award!
Auba in September...
4 games
️ 5 goals
Want to help Auba to win the prize? You know what to do... 
OK subir kidogo
Tuambie upuuzi wake,
Acha hizo mkuu,mpira haupo hivyo ingekuwa kila nafasi watu wanaeka kambani nafikiri top scorer angekuwa na goli 100,na mpira wa miguu ungekuwa kama basketball
OkMkuu niunganishe namm 0717550291
Ile combination yake na rvp na song kwangu ndo ilikua the best walikua wana onana sana zile pasi kama atak na zile long ball za song daah so sad atuku win kitumwanangu mwenyewe huyooo
sitahisahau combination yake na carzola at the mid nyuma yao yupo qokulini tulishinda mechi 7 mfululizo
Boss tuma link na wengine tujoinOK subir kidogo
Boss tuma link na wengine tujoin
Alipiga boko moja jana, anashida ya kujiamini ila ni mchezaji mzuri akiondoa pressure
From now on, Mambo ya Nelson kuanza instead ya huyu dogo ni ujuha.Gabriel Martinelli, leo kaja tofauti na mechi ya Nottingham Forest, ameogeza kujiamini na kachangamka zaidi naamini Akiendelea kupata muda atabadilika kwa muda mfupi zaidi kuwa mchezaji muhimu.
#coyg![]()
View attachment 1223104
OK subir kidogo
Kwan kabadilisha NINI Emery?Sasa makelele ya UE out tusiyasikie muendelee hiv kuipamba muda wote
Hii ndio soln