Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

#Coyg
_20191004_001436.JPG
_20191004_002503.JPG
_20191004_002601.JPG
_20191004_002620.JPG
 
In the 10 games so far this season, Arsenal have 4 clean sheets. The 6 games we did not keep the clean sheet is with the Sokratis-Luiz pairing. As a pair, they've kept 0. Having said that, we're 100% starting them on Sunday for god knows what reason...
 
Gabriel Martinelli vs Standard Liège:


7 Shots, 3 on target, 3 big chances, 2 goals, 1.6 xG. 4 shot assists, 2 big chances created, 1 assist and 1.2 xG assisted. 2 dribbles, 1 foul drawn, 1 time dispossessed. He even threw in 3 tackles and 77.8% pass completion. Impressive.
IMG-20191004-WA0001.jpeg
 
Aisee umeangalia wapi MPIRA,?

Kapiga shuti moja likawa blocked

Jingine wamembana asipite


Pass ametoa vzr tu labda uniletee takwimu hapa
Kapiga blocked shots mbili. Karuka kichwa akampush na Martnell moja.

Magoli mangapi hayo?

Kaleta anao anao ndani ya box mara 2.

Blocked through ball ni mbili.

Yaani hizo ni ambazo naziona bila takwimu.
 
Kapiga blocked shots mbili. Karuka kichwa akampush na Martnell moja.

Magoli mangapi hayo?

Kaleta anao anao ndani ya box mara 2.

Blocked through ball ni mbili.

Yaani hizo ni ambazo naziona bila takwimu.
Sasa ndio kucheza vibaya huko?

Ungeleta na takwimu kabisa

Kwa dakika alizocheza ana Rating ya 6.5

Yaan ulitaka afungeje pale amefanyiwa block?

Mpira wa kichwa wala hajampush ,ila wamekutana WOTE wameruka juu kutaka kufunga

Pass Leo alikuwa accurately karibu 90%


Yaani ukiingia na matarajio flan kwa pepe afanye unaweza kila siku kuona anazingua
 
Mzee unahisi wewe ndiyo mkweli peke yako humu au wewe una tv wengine tunaangalia nyota na mwezi? Acha mambo yako
Ndio maana nimekuomba takwimu ili tuchambue vzr ,

Maana hapo umeongopa kwa hayo uliyosema ,

Kwa dk alizocheza katoka na Rating 6.5

Bado pass accuracy ilikuwa nzuri


Huon kwamba unatudanganya live?
 
Ndio maana nimekuomba takwimu ili tuchambue vzr ,

Maana hapo umeongopa kwa hayo uliyosema ,

Kwa dk alizocheza katoka na Rating 6.5

Bado pass accuracy ilikuwa nzuri


Huon kwamba unatudanganya live?
Yea nimewadanganya.

Samahanini.

Pepe aliscore zile shots na kile kichwa aliscore. Anao anao ndani ya box imesababisha penati moja.

Samahanini.
 
Yea nimewadanganya.

Samahanini.

Pepe aliscore zile shots na kile kichwa aliscore. Anao anao ndani ya box imesababisha penati moja.

Samahanini.
Nimekuomba takwimu za pepe kwa dk alizocheza huleti ila unasema amecheza vibaya sijui kakosa goli

Moja ya unayoizungumzia ni tukio ambalo alizuiwa asiingie ,na ilikuwa ni penalty

Ilikuwa dakika ya 69

Pepe had a chance to run at the Liege defence then with options either side, but it looked like he played for a penalty that the referee was not buying.
 
Gabriel Martinelli, leo kaja tofauti na mechi ya Nottingham Forest, ameogeza kujiamini na kachangamka zaidi naamini Akiendelea kupata muda atabadilika kwa muda mfupi zaidi kuwa mchezaji muhimu.

#coyg
IMG_20191004_002310.jpeg
 
Nimekuomba takwimu za pepe kwa dk alizocheza huleti ila unasema amecheza vibaya sijui kakosa goli

Moja ya unayoizungumzia ni tukio ambalo alizuiwa asiingie ,na ilikuwa ni penalty

Ilikuwa dakika ya 69

Pepe had a chance to run at the Liege defence then with options either side, but it looked like he played for a penalty that the referee was not buying.
Samahani nimekudanganya. Yaishe ndugu yangu.
 
Duh hutaki tujenge hoja?
Shida ni kwamba mimi naongea ambacho nimekiona wewe unataka takwimu yaani kama vile inatakiwa nitafute takwimu kuthibitisha kua jamaa kuna magoli amekosa wakati nimeshuhudia.


Ni kweli tulistahili penati mbili ya Nelson na yake. Ni kweli jamaa overall kacheza vizuri.

Lakini je unatamani 75M icheze hivyo?
 
Shida ni kwamba mimi naongea ambacho nimekiona wewe unataka takwimu yaani kama vile inatakiwa nitafute takwimu kuthibitisha kua jamaa kuna magoli amekosa wakati nimeshuhudia.


Ni kweli tulistahili penati mbili ya Nelson na yake. Ni kweli jamaa overall kacheza vizuri.

Lakini je unatamani 75M icheze hivyo?
Taratibu utamuelewa ,tatizo tuna taka afanye makubwa kwa haraka ,kumbuka hakuwa na preseason , halafu yeye mwenyewe pepe anasema Soon atakaa sawa maana amekutana na mazingira tofauti , ligi tofauti ,

Leo hajacheza vzr sana ,ila kajitahidi, hata pass alikuwa anatoa vzr tu, nimeshangaa ulivyosema pass ovyo, unao unao mwingi,

Huo ndio mpira wa pepe , Soon utamfurahia , Pepe ana talent , ni finishing tu ndio anatafuta ,

Na lacazette hivi anarudi , mbona tutamuelewa ,

Maana Leo nimeiona hata kupiga mashuti alijaribu,
 
Hapa kibanda umiza,mashabiki wenzetu wa Arsenal,wamehamishia kelele zao kwa Pepe.Nikawauliza Guendouzi vipi?Siwasikii mkipiga kelele siku hizi,Imekuaje?Wakabaki wanajichekesha!!!!!!Tunatafuta mtu wa kumpa lawama,kila mechi.Tuwe wavumilivu kidogo
Ungewatia makofi kwanza kisha ukawaambia wajifunze kuwa na Subira.
 
Hapa kibanda umiza,mashabiki wenzetu wa Arsenal,wamehamishia kelele zao kwa Pepe.Nikawauliza Guendouzi vipi?Siwasikii mkipiga kelele siku hizi,Imekuaje?Wakabaki wanajichekesha!!!!!!Tunatafuta mtu wa kumpa lawama,kila mechi.Tuwe wavumilivu kidogo
Hao ni.mamluki tu
 
Back
Top Bottom