Hii show ingependeza kama Lacazette angekuepo.
Anayesema Willock awepo itakua hataki tushinde mapema. Willock alifika kwenye boks mara mbili akitokea kushoto akashindwa kuscore, Auba akaenda eneo lilelile mechi hiyohiyo mara moja tu na akascore na mabeki wakawa wanambana asifike tena pale.
Kwahiyo ama tumchezeshe Saka, Auba na Pepe. Au Auba, Martnell na Pepe. Xhaka awepo ampigie tena De Gea lile shuti kata kiuno.
Wachezaji ni wengi na wote wana potential kiasi kwamba mtu unashindwa kujua nani aende wapi. Nahisi Emery ndiyo hua kichwa kinamuwaka kutuzidi.