Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Mkuu Saka kwa pepe bado sanaHuyu Saka kiukweli Pepe akilegea anaweza kushangaa dogo anamzidi katika kuscore na hata kutengeneza nafasi. Kama mambo bam bam wanaweza kubanana wote ile wing ya kulia.
Anyway kesho tunamhitaji Ceballos, Torreira na Guendouz pale kati (Naona Relief Mirszka akitabasamu) Ceballos na Torreira kwakua hua hawasiti kushoot nje ya 18 na De Gea siyo mzuri kwa mipira hiyo. Pia ni wakabaji wazuri, wana speed hivyo wataziba weakness ya Guendouz ambaye yeye ni mzuri kwenye duel na kusprint kwenda mbele.
Back na forward tunajua nani ni nini ila hapo kati paimarishwe. Tufanye 4 3 3 kama Martnell atakaa kati, wing ya kulia asimame pepe, ya kushoto asimame Auba.
Tusijisahau tho tukawaimba mashabiki wao maana Arsenal hua tupo hot ila hawa jamaa hata wakiwa kwenye plane mode wakikutana na sisi hua wanachangamka balaa.
Pepe ni habari nyingine ile
Ni swala la muda ,tayari Auba kashamfungulia code
Hata lacazette alianza hivi hivi ilimchukua muda sana kuanza kutupia
Kesho njoo ushuhudie Wan bisaka anavyopata tabu kwa pepe
Saka namuelewa sana na Sishangai kupewa namba 7 maana anaonesha ana kipaji kuliko Nelson na Willock
Ila ni dhambi kumfananisha na Pepe,
Mpaka sasa nilichoona pepe Bado anakitafuta ni ile kulenga goli kwa usahihi ,
Maana kama kukokota mipira anakokota
Kutengeneza nafasi za kufunga anatengeneza
Pace
Speed
Anazo za kutosha
Ila akipiga kulenga goli anakuwa off target sana
Sasa hilo ndio wengi wanamuhukumu ,ni swala la muda
Narudia njoo kesho SAA 4:00 uone wan bisaka atakavyokuwa anapata taabu

| #AFC