Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Arsenal drawn against Liverpool away in the Carabao Cup, a team Emery said he doesn't want to play against not so long ago 










Akiweka madogo wenu na sisi tukiweka wa kwetu mtatupiga madogo wetu hawajiaminiHalafu Liverpool ndio timu yake anayoishabikia Unai kwa England nzima kwa hiyo tujiandae na mfumo wa diamond ule![]()
By the way hiyo mech Arsenal na Liverpool watacheza makinda tu, Liverpool hawez kurisk Wachezaji wake tegemeo kisa carabao kombe ambalo bingwa anapata £100,000 .Akiweka madogo wenu na sisi tukiweka wa kwetu mtatupiga madogo wetu hawajiamini
Ashley Cole alifanya maamuzi sahihi kuja Chelsea, asingebeba kombe EPL hata moja + uefa15 years ago today, Arsenal's fierce rivalry with Manchester United reached boiling point.
The game dubbed 'The Battle of Old Trafford' ended in a 0-0 draw.
In the aftermath, Arsenal were charged £175,000 for failing to control their players.
Fines for players totalled £100,000 with 6 Arsenal players getting fined.
Despite this, Arsenal went on to go unbeaten all season so the draw was significant.View attachment 1213974



Wewe mpuuz umerud tenaAshley Cole alifanya maamuzi sahihi kuja Chelsea, asingebeba kombe EPL hata moja + uefa
Kila la kheri Chelsea![]()
Over Captain's Armband
*
| #AFC
Huyu hata akipata matokeo watamtimua tu end of the season,UNAI ni kweli hatumkubali wengi wetu, lakini sidhani kama ataondoka kirahisi hivyo kama timu itaendelea kupata matokeo.
Jamaa bwege kapenda Mpira ukubwaniWewe mpuuz umerud tena
Ashley Cole mtoto wa academy ya arsenal ,kabeba EPL 2 na mataji mengine na Arsenal
Kipind hicho Chelsea haijazaliwa, maana Chelsea imezaliwa 2005 ,ndio maana unasema Cole hajabeba EPL na arsenal,
Yaani wewe unajua timu zimeanza 2005
Unatumia vigezo gan kumtetea kocha kama emery?Baada ya Benitez kutoka Liva, ikapata makocha wa hapa na pale mpaka ikatulia kwa Klopp. Man U baada ya Alex kutoka wakazurura hapa na pale na saa hii wameangukia kwa Ole ambaye naamini ataondoka soon.
Chelsea wanaenda na kurudi kwa Mourinho, safari hii wametua kwa Frank, binafsi naamini siyo kwa kupenda isipokua wamekosa established coach ambaye angekubali kufundisha klabu isiyosajili.
Arsenal tumeachana na Arsene kaja Emery naona ghafla tuna hamu ya kuipita ruti waliyopita wenzetu. Ajiri, Tema, Ajiri, Tema tena. Yaweza kua Emery hatoshi lakini hapo ni tumemuweka sahani moja na Man City, Liverpool (Nimetaja hizi timu mbili kwakua ndiyo zina uhakika wa kushinda zinapocheza na timu nyingine) lakini kati ya hizi timu kuna moja ilijengwa kwa uvumilivu, trial and error mpaka wakafika wanapopataka halafu nyingine imejengwa kwa pochi.
By the time hizi timu zinajijenga, kwa pochi na kwa uvumilivu, sisi hatukua popote katika hayo makundi 2. Pesa hatukutumia na vipaji tulikua tunaviuza, hatukutumia pesa kuleta wachezaji wakali na vilevile hatukua na timu iliyosukwa kwa muda mrefu. So saa hii Emery ana timu ambayo imefungua pochi kidogo na ina makinda, ninachoona anajaribu kuwork out nani ni nini katika kila nafasi. Xhaka kuchezeshwa namba siyo yake siyo tukio la kwanza duniani, Henry alivyochezeshwa kama striker na Arsene hakuanza kuscore ghafla, ilichukua muda mpaka akawa tunayemjua leo.
Mgano tunajua kua mtu unahitaji beki wa kulia na kushoto wanatakiwa kua na speed kuliko CB ila Chambers hana speed ingawa ni beki mzuri. Mimi ningekua kocha nikicheza na baadhi ya timu siwezi kumpanga Chambers awe beki wa pembeni ni nitamweka CB au DMF. Emery anashinda na hawa watu karibia kila siku ni anajua nani ni nini katika nafasi anayompa.
Ingekua Man U ndiyo inalalamika kuhusu matokeo ningeelewa sana, kwanini? Kwasababu wametumia pesa nyingi karibia na Man City waliyotumia wanalipa wachezaji mishahara mikubwa lakini bado timu yao siyo tishio.
Miki nasema Emery ni kocha tena mzuri tu. Arsene alikuja akitokea Japan, na hakuna aliyejua huko alipotoka alifanya nini and the man turned out to be a legend. Emery hata historia yake ipo ila kumvumilia ndiyo mtihani au siyo? Kisa? Hajui kikosi. Nakumbuka fainali na Chelsea ya Europa kikosi alichopanga ni kilekile mashabiki tulikililia, tukafa nne, na huyu Ozil anayeliliwa hapa yumo.
Tukaga tatu na Leicester, tukafa 2 - 1 na timu jina limenitoka. Mimi nikisema Laca na Auba waanze hua simaanishi tunashinda hua namaanisha na sisi tunakua na fighting chance. Nikisema Matteo miyeyusho simaanishi asipokuepo tutashinda ila namaanisha akiwepo anaua fighting chance kwa ukosefu wake wa stamina na control.
Naamini baadaye kidogo tukitoka kwa Emery tutaenda kwa Luiz. Luiz ni mkabia macho kama Mustafi, na msababishaji penati mzuri tu. Tukitoka hapo tutaenda kwa Pepe, hajascore mpaka leo wakati Nketiah mechi moja tu kascore, Saka kashascore, tusihesabie la penati.
Hoja yangu ni kua arsenal bado tunajijenga, matamanio yetu yakae kando kama kusajili hata Totenham kasajili lakini maisha yake wote tunayaona na Efl kashatolewa.
Tuache mihemko.