Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kikosi kikipangwa vzr ,hasa hawa mabeki waleo waanze kwa asilimia kubwaMimi na wewe tunajenga nyumba moja. Hatuna haja ya kugombea fito.
Wawe wanapress au hawapress watajua wenyewe as long as ninajua kua mpiga kros na faulo Young hamfikii Tierney. Striker wao ana misimu mitatu na nusu lakini kujifunza kutokana na makosa hawezi hivyo watajua wenyewe.
Am out.
Xhaka apumzike
Kati waanze gunduz lt11 cebalos
Mbele
Pepe auba ozil/saka/martinel hata Nelson sio mbaya
Bas sion Man u wakipata hata sare hapo hapo kwao
Ila otherwise tunaweza kupigwa hata 4-0
