Subiri experiment za Unai Jumatatu. Xhaka na Guendouz lazima wataanza, Lt11 atakaa bench mpaka dakika ya 75 halafu tutaanza kuwalaumu mabeki.Kiujumla timu imecheza vizuri, wachezaji waliotoka majeruhi Tierney, Berallin na Holding mechi hii itakua imewaongezea kujiamini.
Kuna mambo Unai ni lazima ayajue;
Nafasi ya Toreila ni DM, kumpanga Xhaka ni kujitafutia lawama zisizo na msingi.
Martinelli ni azina yetu inabidi apewe nafasi gemu za EPL ili kuongeza uzoefu na stamina.

