Arsenal tunasikitisha sana. Bora niangalie mechi ya Taifa Stars.Katika wasen**** wa timu Guendouzi ni mmoja wapo hapati namba sio top 6 ila top 10 ya EPL
Arsenal tunasikitisha sana. Bora niangalie mechi ya Taifa Stars.Katika wasen**** wa timu Guendouzi ni mmoja wapo hapati namba sio top 6 ila top 10 ya EPL
Utakuwa na jioni njema sana boss.Leo nitakuwa na jioni nzuri.Saka starts
Mkuu kwa hiyo kabla ya game ya leo Goundouz ulikuwa unamuweka kwenye top 6 ya EPL??? ARSENANE mna shida sana. Angalia game ya Chls vs Liver uone majembe, sio huo utoto wenu.Katika wasen**** wa timu Guendouzi ni mmoja wapo hapati namba sio top 6 ila top 10 ya EPL
Huyu kocha fala anafanya sub dakika ya 72 wakati timu iko hoi
Auba kasaliti kambi aiseeMatokeo yakibaki hivi najua ni furaha kwa mkuu AROON
Wewe naye tulia ,una timu bovu kama nn11th.....na badooooView attachment 1213731
Kocha bovu sana huyoAuba kasaliti kambi aisee
Ila bado Tunamfukuza huyu kocha