Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
HafukuzwiUnai atafukuzwa kilazima kabla ya December
HafukuzwiUnai atafukuzwa kilazima kabla ya December
Anatimuliwa ,Josh hamuelewi,Hafukuzwi
Okey let's seeAnatimuliwa ,Josh hamuelewi,
Ni kifaa sema huyu taahira wetu emery alikuwa hajaona potentialty yakeMwanangu unampenda bukayo saka kinoma.
Hapo ndio sikubaliani na wengi. I also want lt11 to start lakini sio kwa kum-drop Guendouzi. Kama wa kwenda bench aende xhakamm wanangu wa arsenal sielewagi kabisa guendozi anachezaga nn
ni kiungo wa kawaida sana sio level ya kucheza arsenal
Level za arsenal mpaka nimezisahau siku hizi no wonder saka Start todaymm wanangu wa arsenal sielewagi kabisa guendozi anachezaga nn
ni kiungo wa kawaida sana sio level ya kucheza arsenal
level za arsenal ni current form ya man cityLevel za arsenal mpaka nimezisahau siku hizi no wonder saka Start today
guendozi ana lacky energy( kudrive time kutoka nyuma kwenda mbele) ndo maana tunastruggle sana kucheza mpira katikatiHapo ndio sikubaliani na wengi. I also want lt11 to start lakini sio kwa kum-drop Guendouzi. Kama wa kwenda bench aende xhaka
Katika wasen**** wa timu Guendouzi ni mmoja wapo hapati namba sio top 6 ila top 10 ya EPLguendozi ana lacky energy( kudrive time kutoka nyuma kwenda mbele) ndo maana tunastruggle sana kucheza mpira katikati
na magoli yetu mengi yanatokea pembeni tu
dogo pia hawezi kucheza aggresive game pale inapohitajika
Siyo pressure tu mkiendelea na unai kuna kushuka darajaArsenal ana yellow kadi 2 na Red 1
Aston Villa hana kadi hata moja
Aston Villa mpaka dk ya 20 ana On target 3 Arsenal hana hata moja
HT Arsenal 0-1Aston Villa tena Emirates Stadium
ARSENAL IMEKUWA TIMU YA KAWAIDA NA KAMA UNAI ATAENDELEA KUWA KOCHA TUANZE KUNUNUA DAWA ZA PRESHA
Ingia www.hesgoal.com kuna links za mechi zoteOya mwenye link atuwekee