Amestuka kwamba wapenzi wameshakuwa tafrani, pamoja na kwamba ameleta stability kimapato lakini Miaka 5 bila trophy ni mingi sana kwa kilabu kama hiki chetu. Tuna imani msimu huu tutapata walau trophies 2, ni kama kusubiri basi muda mrefu kituoni mara nyingi zinatokea bus 2 ama 3 kwa mpigo.:smile:
Atakuwa amekosea....mkuu, hii mechi ya leo kipindi cha kwanza hawa West wamegoma kuachia kabisa....Hivi kiwango cha Arshiv.. kimeshuka au ni nini? naona vijimakosa vipo, au atatoka aingie Rosc....
AW, Ba Mkubwa et al, tuko pamoja, tuwe na subira tu, tutashinda hii mechi, kwa maana hawa mabeki wa W/ham wakianza kuchoka na concentration yao itapungua, naona Arshavin na atolewe ili aingie Walcoltt