Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Waungwana nilikua namuuguza bibi angu bahati mbaya amekufa asubuh ya leo, so nategemea mnpe update ya game yetu ikiwezekana na link za magoli nkipata mda ntakua nachungulia humu coz cwez kuchek game
 
Waungwana nilikua namuuguza bibi angu bahati mbaya amekufa asubuh ya leo, so nategemea mnpe update ya game yetu ikiwezekana na link za magoli nkipata mda ntakua nachungulia humu coz cwez kuchek game
Pole sana mkuu , kuhusu update utapata tu
 
Waungwana nilikua namuuguza bibi angu bahati mbaya amekufa asubuh ya leo, so nategemea mnpe update ya game yetu ikiwezekana na link za magoli nkipata mda ntakua nachungulia humu coz cwez kuchek game

Pole sana mkuu.

RIP bibi yetu.
 
Waungwana nilikua namuuguza bibi angu bahati mbaya amekufa asubuh ya leo, so nategemea mnpe update ya game yetu ikiwezekana na link za magoli nkipata mda ntakua nachungulia humu coz cwez kuchek game

Pole sana kwa msiba kaka
 
4-1-2-1-2
IMG-20190915-WA0032.jpeg
IMG-20190915-WA0031.jpeg
 
Waungwana nilikua namuuguza bibi angu bahati mbaya amekufa asubuh ya leo, so nategemea mnpe update ya game yetu ikiwezekana na link za magoli nkipata mda ntakua nachungulia humu coz cwez kuchek game
Pole saana ndugu yetu.
 
Leo ningependa xhaka angekuwa bench, Torreira angechukua nafas ya kuanza, mfumo wa leo ni wa hovyo sana, tulifungwa na Liver kwa mfumo huu
 
Back
Top Bottom