Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huo mlibganisho unaosema unafanyika mwisho wa msimu na siyo sasa. Kinachoendelea kwa sasa ni kuona progress uliyonayo itakupa nini mwisho wa msimu? Arsenal inaanza kuwa kama Utd akishinda mechi mbili tatu mnaanza kuona mmekamilika sasa.

The end does not justify the means.
Hata kinachoendelea sasa kinaonesha Chelsea inaweza kushuka daraja
 
Ndo wajue thamani ya Kepa inaonekana kwa wanampira siyo vinginevyo
Kwahiyo kuanza Jana ndio kipa bora? Cha ajabu katunguliwa , sijui Mara ya mwisho kutoa cleansheet ni lini, mm siku hizi nikiona mahali kuna kepa ,naweka mzigo kuwa atafungwa tu , nakula hela
 
Soma sentensi ya mwisho hapo. Kama tutamaliza nusu ya zile mechi 38 katika hali kama hii tunaweza kuwa katika mazingira magumu zaidi mwisho wa msimu.
Hata kinachoendelea sasa kinaonesha Chelsea inaweza kushuka daraja
Halafu jaribu kutoa comment kimpira zaidi usi comment kwa mawazo ya kwamba unaniumiza mimi. Chelsea hata iwe mbovu kiasi gani sahau kushika nafasi ya 8 kushuka chini halafu leo unaongelea habari za kushuka daraja.
 
Siyo kuanzia jana hebu fuatilia kiundani zaidi. Halafu nikukumbushe Kepa ana 24 y/o
Kwahiyo kuanza Jana ndio kipa bora? Cha ajabu katunguliwa , sijui Mara ya mwisho kutoa cleansheet ni lini, mm siku hizi nikiona mahali kuna kepa ,naweka mzigo kuwa atafungwa tu , nakula hela
 
Siyo kuanzia jana hebu fuatilia kiundani zaidi. Halafu nikukumbushe Kepa ana 24 y/o
Huyo kipa ni overrated ,mech kama hizo za kufuzu kudaka ndio unakuja kupiga kelele? Sasa mech kama hizo anatobolewa , hatoi cleansheet , kepa iwe mech ya mchangani iwe mech serious muda wowote kuna goli.
 
Soma sentensi ya mwisho hapo. Kama tutamaliza nusu ya zile mechi 38 katika hali kama hii tunaweza kuwa katika mazingira magumu zaidi mwisho wa msimu.Halafu jaribu kutoa comment kimpira zaidi usi comment kwa mawazo ya kwamba unaniumiza mimi. Chelsea hata iwe mbovu kiasi gani sahau kushika nafasi ya 8 kushuka chini halafu leo unaongelea habari za kushuka daraja.
Acha kujidanganya ,juz tu tumeshuhudia ikishika nafas za 10,

Leo January haisajiri utanibishia vipi haiwez kushika nafas za 10 kushika chini . Ila endelea kubisha maana kabla ya msimu nimekuwa nikikwambia kwa kikosi hiki msitegemee miujiza , ligi imeanza bado unajipa matumaini , wakati Leicester city, Everton hawa tu wana vikos bora kushinda Chelsea .

Mimi nitaendelea kuwa na update taarifa zangu, niliwaambien ikifika mech 10 ,mpo ndan ya top 6 ,bas mnaenda kubeba EPL , na mtani prove wrong
 
Siyo kuanzia jana hebu fuatilia kiundani zaidi. Halafu nikukumbushe Kepa ana 24 y/o
Kepa namjua toka yupo Bilbao , Perez akimtaka kwa £18m , January , biblao wakakataa na kumuwekea release clause ya £71m , Chelsea kichwa kichwa akaliwa ,wakati alikuwepo oblak mwenye release clause ya £92m.

Ni kipa wa kiwango cha chini .
 
Arsenal are moving to sort Pierre-Emerick Aubameyang’s future at the club as a priority, ahead of Lacazette who has an extra year on his deal. Aubameyang said to be very happy in north London. [@JackStaplehurst]
 
Kepa namjua toka yupo Bilbao , Perez akimtaka kwa £18m , January , biblao wakakataa na kumuwekea release clause ya £71m , Chelsea kichwa kichwa akaliwa ,wakati alikuwepo oblak mwenye release clause ya £92m.

Ni kipa wa kiwango cha chini .
Unaelewa chochote katika manunuzi ya mchezaji pamoja na mikataba yake? Maana naona umeshupalia sana eti tumeliwa.

Haya nyie wapenda vya bei rahisi mmepata nini ndani ya miaka 10 iliyopita?
 
Acha kujidanganya ,juz tu tumeshuhudia ikishika nafas za 10,

Leo January haisajiri utanibishia vipi haiwez kushika nafas za 10 kushika chini . Ila endelea kubisha maana kabla ya msimu nimekuwa nikikwambia kwa kikosi hiki msitegemee miujiza , ligi imeanza bado unajipa matumaini , wakati Leicester city, Everton hawa tu wana vikos bora kushinda Chelsea .

Mimi nitaendelea kuwa na update taarifa zangu, niliwaambien ikifika mech 10 ,mpo ndan ya top 6 ,bas mnaenda kubeba EPL , na mtani prove wrong
Mkuu unachoongea ni opinions zako kulingana na akili yako inavyokutuma ivyo sina cha kupinga wala kuongezea kwa sababu hakuna fact uliyotia ku justify ulicho andika.

Mfano umesema hata Everton ana kikosi bora kuliko sisi. Nataka nikukumbushe kitu Chelsea ya msimu ulioisha imeshika nafasi ya 3 na ikakupapasa Europa League final kwa goli 4, haya mchezaji wa maana aliyeondoka ni Hazard ina maana wamebaki watu wa maana pia. Hiyo Everton msimu uliopita imeshika nafasi ya 8 na msimu huu imefanya usajili wa Kean, Gomes and the lost Iwobi na Delph hebu niambie hawa wanatuzidi nini kiubora? Mkuu sema Everton wana watu na siyo kikosi bora kuliko Chelsea. Au labda unaongrlea ubora gani?
 
Huyo kipa ni overrated ,mech kama hizo za kufuzu kudaka ndio unakuja kupiga kelele? Sasa mech kama hizo anatobolewa , hatoi cleansheet , kepa iwe mech ya mchangani iwe mech serious muda wowote kuna goli.
Mara ya mwisho De Gea kusimama ilikua mechi gan na ni lini?
 
Mkuu unachoongea ni opinions zako kulingana na akili yako inavyokutuma ivyo sina cha kupinga wala kuongezea kwa sababu hakuna fact uliyotia ku justify ulicho andika.

Mfano umesema hata Everton ana kikosi bora kuliko sisi. Nataka nikukumbushe kitu Chelsea ya msimu ulioisha imeshika nafasi ya 3 na ikakupapasa Europa League final kwa goli 4, haya mchezaji wa maana aliyeondoka ni Hazard ina maana wamebaki watu wa maana pia. Hiyo Everton msimu uliopita imeshika nafasi ya 8 na msimu huu imefanya usajili wa Kean, Gomes and the lost Iwobi na Delph hebu niambie hawa wanatuzidi nini kiubora? Mkuu sema Everton wana watu na siyo kikosi bora kuliko Chelsea. Au labda unaongrlea ubora gani?
Kabla ligi haijaanza ulibisha sana , ligi imeanza hata kina Norwich wanawasumbua,

Bado unaamin kuna wonders mbele ya safari, wakati ndio kwanza unaelekea kwenye miba na mamba wakali,,

Ninaposema mnashika nafas ya 10-15 namaanisha ,ila wewe unaleta ushabiki na mapenzi ,

Hivi Chelsea ana kikosi gan cha kumzidi Everton huyu mwenye Iwobi- Kean -richarlson??
 
Average age of Premier League squads this season.
IMG_20190905_205254.jpeg
 
Kabla ligi haijaanza ulibisha sana , ligi imeanza hata kina Norwich wanawasumbua,

Bado unaamin kuna wonders mbele ya safari, wakati ndio kwanza unaelekea kwenye miba na mamba wakali,,

Ninaposema mnashika nafas ya 10-15 namaanisha ,ila wewe unaleta ushabiki na mapenzi ,

Hivi Chelsea ana kikosi gan cha kumzidi Everton huyu mwenye Iwobi- Kean -richarlson??
Tatizo hutoi point unalalamika tu. Huyo Iwobi alikua Arsenal kafanya nini? Aje kuwika akiwa Everton. Sitegemei makubwa kutoka kwake. Nawaza Iwobi ndio yupo Chelsea sijui anamuweka nani benchi? Pedro? Pulisic? Odoi? Willian?

Siamin wonder naamini kinachoonekana sasa. Tunazumngumzia ubora wa Chelsea na Everton wewe unahamisha story!!
 
An interesting inclusion in Arsenal's Europa league squad - 17 year old Joel López. The left back is a product of of La Masia and highly regarded in the youth setup. Said to be a very pacy player who excels at both areas of the pitch. by La Masia expert Albert Rogé.
IMG_20190906_114858.jpeg
 
Tatizo hutoi point unalalamika tu. Huyo Iwobi alikua Arsenal kafanya nini? Aje kuwika akiwa Everton. Sitegemei makubwa kutoka kwake. Nawaza Iwobi ndio yupo Chelsea sijui anamuweka nani benchi? Pedro? Pulisic? Odoi? Willian?

Siamin wonder naamini kinachoonekana sasa. Tunazumngumzia ubora wa Chelsea na Everton wewe unahamisha story!!
Arsenal haikuwa level yake , pale Everton wameanza wote watatu iwobi Kean richarlson umeona moto wao ? Ndio ufananishe na Chelsea hii ya Abraham na pulisic? Kwa kipa wenu alivyopazia mkikutana na Everton nitakukumbusha ,

Maana huwa hutaki kukubali ukweli, toka preseason unabisha ,nakuambia msimu huu mtapata taabu , mmeanza kupata tabu bado unabisha ,itafika kipind mnagombea kushuka daraja ,utabisha ,mtaenda championship utabisha .
 
Back
Top Bottom