Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hata kinachoendelea sasa kinaonesha Chelsea inaweza kushuka darajaHuo mlibganisho unaosema unafanyika mwisho wa msimu na siyo sasa. Kinachoendelea kwa sasa ni kuona progress uliyonayo itakupa nini mwisho wa msimu? Arsenal inaanza kuwa kama Utd akishinda mechi mbili tatu mnaanza kuona mmekamilika sasa.
The end does not justify the means.
