Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bora hata Luiz hao wengine watatucost sana msimu huu,kwa kweli Huyu kocha hatufai kabisa
 
Unai hatufai kabisa

Timu ipo vzr anaanzisha watoto

Kwan Pep na klopp wanapoanzisha DREAM TEAM ni wajinga?
Ni kweli hii game tungeanzisha kikosi kama alivyokuwa anapanga mwaka jana hawa jamaa wasingeshinda
Sio wazuri kiivyo na hii game itafanya timu isijiamin tena
 
Unai mwoga sana kufungwa afu pia anazidi kujionesha yeye ni kocha wa timu ndogo
 
Tunahitaji kocha kama yule wa Ajax au Diego Semeon au Conte

Ni makocha wanaojiamini
 
huyo Lacca hata angekuwepo pasngekuwa na jipya, ngoja sie chelsea tuanze kuhesabu point
 
Na bado hizi ni rasharasha tu subiri kiama kinakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…