Tumefungwa sababu ya kocha
Unai amepewa mzigo mzito, huwez kuacha watu wakazi nje ,unaanzisha u21 ,
Huyu kocha hafai kufundisha arsenal , na wakichelewa kumfukuza , atatufikisha pabaya
Laca mech ya mwisho kafunga , Leo unamuingiza dk 10 za mwisho,
Nje una LT11 , unaanzisha Mateo na willock ili iweje ?
Amesababisha beki izidiwe wakati wamecheza vzr tu,
UNAI hatufai