Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Binafsi hata kuondoka kwa kocienley mi nimfrah nikikumbka alivyotuchoma game ya southmption sitasahau goli zote tatu alituchoma yy
 
ORNSTEIN| WInga wa Arsenal na England ya vijana Xavier Amaechi amejiunga na hamburg ya ujerumani.
Xavier Amaechi mwenye umri wa miaka 18 amekataa mkataba mpya wa kubaki Arsenal na kusaini mkataba wa miaka 4 na timu hiyo ya ujerumani.
Amaechi atajiunga na hamburg kwa mkataba wenye thamani ya €2.5M ambayo itaongezeka kutokana na uwezo atakao onyesha.
Mkataba huo hautakua na kipengele cha kumnunua tena bali utakua na kipengele cha kupata asilimia fulani (kwa Arsenal) kama hamburg watamuuza.
Amaechi ataingia moja kwa moja kwenye timu kubwa ya miamba hiyo ya zamani ya ujerumani.

Kila la heri Xavier.
 
Wazee wa stress hahaha mpo naona mnasajili bado ila cha ajabu hamna beki halafu mkasajili beki mkamrudisha kwa mkopo. Poor Arsenal fans sijui mnawezaje kushabikia timu isiyokua na mikakati ya ubingwa kama hii.
Anyway nilikua napita kuwapa salamu stress Fc.
Uzuri wa washabiki wa Arsenal mnajua mpira tofauti na wale ma plastic fans kule bwanyenye fc na Chelsea wanaomtegemea Giroud na Tammy Abraham wafunge goli zaidi ya 25 msimu huu kitu ambacho ni sawa na kumlisha mtoto mchanga makukuru.
 
Mustafi out..
Konsienly out...

Another CB is needed coz we need a strong backline. Naamini Holding akirudi, pamoja na uwepo wa Sokratis tutakuwa na beki nzuri, ila for a healthy competition tunataka top notch defender.

Nacho is getting old so Sead needs a backup, or even someone to compete with, on the right side I think Hector is strong enough to take charge, but another RB is needed to compete with him, I don't see Chambers as a permanent solution.

Huko mbele mimi sina shida sana, japo naona Mesut ameshachoka.
 
Wazee wa stress hahaha mpo naona mnasajili bado ila cha ajabu hamna beki halafu mkasajili beki mkamrudisha kwa mkopo. Poor Arsenal fans sijui mnawezaje kushabikia timu isiyokua na mikakati ya ubingwa kama hii.
Anyway nilikua napita kuwapa salamu stress Fc.
Uzuri wa washabiki wa Arsenal mnajua mpira tofauti na wale ma plastic fans kule bwanyenye fc na Chelsea wanaomtegemea Giroud na Tammy Abraham wafunge goli zaidi ya 25 msimu huu kitu ambacho ni sawa na kumlisha mtoto mchanga makukuru.
Mkuu kama hujui kitu uliza au kaa kimya, aliyekwambia Arsenal ndio imemrudisha kwa mkopo nani?

Halafu bado tunaimarisha beki taratibu ,lazima tuondoe waliopo ndio unaleta,

Pia emery anaamini ukiwa na Offensive Kali basi utapunguza kushambuliwa
 
Mustafi out..
Konsienly out...

Another CB is needed coz we need a strong backline. Naamini Holding akirudi, pamoja na uwepo wa Sokratis tutakuwa na beki nzuri, ila for a healthy competition tunataka top notch defender.

Nacho is getting old so Sead needs a backup, or even someone to compete with, on the right side I think Hector is strong enough to take charge, but another RB is needed to compete with him, I don't see Chambers as a permanent solution.

Huko mbele mimi sina shida sana, japo naona Mesut ameshachoka.
Upo Ndugu yangu Eli79 umeadimika sana,

Kiukweli inabidi tulete CB ,LB na backup ya RB

LB tunapambana na TIERNY , CB hapo kuna utata inabid mustafi na cos6 mmoja aondoke ili kupisha ingizo jipya, japo taarifa zinasema pia MEDLEY kapandishwa kutokana na kiwango chake bora , na ni heri tumtumie medley kuliko mustafi, pia kwa upande wa RB uongozi bado haueleweki ,kuna mawili dk za mwisho akaja Dani Alves au tukaendelea kumtumia NILES hadi belle apone

Kwa CB Robert holding ameshapona ,bado fitness tu, na huyu ndio akicheza na sokratis au na mustafi beki inatulia ,na Timu inajiandaa kumpa ukapteni .
 
Emirates cup Leo tunaanza na Lyon

Si mechi ya kukosa ,tutamuona ceballos, martinel,

Na wonderkid Eddie nketiah

Muda :11.15 jioni

Stadium: Emirates
IMG-20190728-WA0007.jpeg
 
Lucas Torreira is back in London this weekend: “I have to join the preseason and prepare for a year that will be as long as the previous one.”[Ovacion Digital] #AFC #Arsenal




Aubameyang on missing out on CL qualification:


"For one week I was really disappointed, but what can you do now? We have to start a new season & of course everyone is not happy with the result in the Europa League final but we have to look forward because life is not finished"
 
Arsenal trying for Rugani on loan, scouted him for years, have other options if doesn’t come off
 
Imaginary conversation:
Lille 1 : So we need $80m for Pepe or we’re not selling.
Lille 2: Hey Boss, Arsenal are on the phone inquiring about Pepe.
Lille 1: Tell them to forget it. They only have $40m they can’t afford him.
Lille 2: I told them, they still want to talk to you
Lille 1: What a colossal waste of time. Ok put them on.
Lille 1: So you’re interested in Pepe huh, my assistant already told you he’s not in your price range. We want $95m.
Arsenal: What is our price range? How do you know?
Lille 1: Everyone knows. It was in the media.
Arsenal. We’ll give you $65m structured as follows … (blah blah).
Lille 1: No we want at least $90m
Arsenal : The player wants to come to us, lets figure it out.
Lille 1: Ok.
Lots of talking……..
Arsenal: so $72m it is structured in the following way …. (blah blah)
Lille 1 : Ok. You’re lucky the player wants to join you. We already have offers of $80m. Deal. Hang up phone.
Arsenal 1: So they thought we only had $40m to spend. You think if we’d announced we had $100m they would have settled for $72m?
Arsenal 2: Hard to say, but I’m glad we didn’t kill that press rumour, it certainly didn’t hurt.
Meanwhile
Lille 1: So I guess we did good. They only had $40m and we ended up getting $72 from them.
Lille 2: Good job Boss, I’d have never believed that a few hours ago.
Gooooooners!!!
 
LS | #Arsenal are interested in singing Daniele #Rugani from #Juventus. The player will cost around £30m minimum. No formal offer from #AFC yet.
 
From || Reports indicate that Juve would consider letting Daniele Rugani go. They value the player at around €40m (£36m), Arsenal are considering the option of a loan (possibly with obligation). All apparently depends on Chiellini who's already starting the season injured.
 
Sami Khedira, who has been linked to Arsenal recently by Di Marzio, is at the Emirates today. [via @GrimandiTweets_]

Kaja kumtembelea OZIL
 
EVERTON wamepeleka 55 kwa zaha , ni muda muafaka sasa wakikubaliwa ,na sisi Arsenal tunapeleka OFA hiyo hiyo ,

Everton have made £55m bid to Crystal Palace for Wilfried Zaha. No players involved. Just £55m

Kutoka kwa Kaveh
Screenshot_2019-07-28-14-40-10.jpeg
 
Image:

Arsenal head of football Raul Sanllehi with football agent Jorge Mendes, who has reportedly been working on Arsenal’s behalf to secure the signing of Nicolas Pepe, at the Emirates Stadium today
IMG_20190728_152616.jpeg
 
French journalist Gilles Favard on Pépé:

- Arsenal gave a mandate to agent Jorge Mendes to bring Pépé to #AFC (he has succeeded) hence the extortionate agent fees we are paying.

- #PSG have pulled out all interest in the player. Pépé is as good as ours.
IMG_20190728_152616.jpeg
 
Back
Top Bottom