Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu Unai yupo serious kutengeneza timu ya Ushindani.. Matunda yataanza kuonekana, ni muda sasa wa kuondoa akina Mustafi, Elneny n.k
 
Spurz wanapenda kutufanyia vurugu,

Nahisi hata vibaka waliotaka kumvamia Ozil na kolasinac ni watotenham

Breaking | Reliable Lille based outlet La Nord are reporting that Tottenham had a late bid rejected for Pepe due to them not fitting the size of club Pepe and his agent are looking for. Spurs manager Pochettino visited Pepe to convince him but was unable to move the player.
 
USAJILI NEWS!

Kiaje wana Gunners?

Surprise surprise!!!!!

Lakini nilisema hapa kwamba Arsenal walikuwa LA kumshawishi Stan Kroenke atoe pesa na amewasilikiza.

Arsenal ina fedha kwenye akiba ya dharura na Inasemwa zimetoka si chini ya pauni 150M

Pia ujio wa Edu utawasaidia sana Arsenal kurudi ilipotoka miaka ya 2002-2004.

Edu amewaambia Arsenal ni lazima timu irudi juu ya ligi msimu huu.

COYGs!!!
 
The best part about Pepe is that he's actually a right-winger.

Iwobi is better on the left, so is Martinelli, Nelson, Saka, Aubameyang. Pretty much everyone we currently own. If we're buying a winger, it's obviously better if it's someone suited to the right.
 
Arsenal walianza kumfuatilia tangia msimu ulipoisha ila dau lake likawatisha kidogo.

Ndipo waliporudi Uingereza na kuanza kumfuatilia Zaha lakini Crystal Palace kwa kuwasikiliza timu zingine mahasimu wakaweka kauzibe na kutaka hizo pauni 80M

Lakini wakaona dili la Zaha linazingua, wakaenda tena Lyon kujaribu maana muda waenda ati.

Halafu Pepe ana miaka 24 mdogo kwa Zaha mwenye miaka 27 na Pepe anachezea upande wa kulia pembeni.

Hivyo Aubameyang au Iwobi watakuwa upande wa kushoto na Pepe upande wa kulia.

So kwa sasa wachezaji 4 watakuwa wamesajiliwa ambao ni kiungo wa kati yaani "Central Midfielder" Dani Ceballos, mshambuliaji wa pembeni Gabriel Martinelli na mkoba William Saliba, ambae atabakia kwenye timu yake ya Saint-Etienne kupata uzoefu zaidi.
 
Acha kabisa, watu kimya toka Gunners walivyofunguwa wallet yao...😎😀😛
1564230489163.png


 
Mustafi akicheza na Rob Holding anatulia.

Ni kwasababu Robby huwa anampiigia kellele za kumkumbusha kurudi na kuziba nafasi.

Boss ingawa alikuwa ni mkoba mzuri lakini alishindwa kuwasiliana vema na Mustafi na Sokratis.

Robby naweza kazi hiyo.
 
Mustafi akicheza na Rob Holding anatulia.

Ni kwasababu Robby huwa anampiigia kellele za kumkumbusha kurudi na kuziba nafasi.

Boss ingawa alikuwa ni mkoba mzuri lakini alishindwa kuwasiliana vema na Mustafi na Sokratis.

Robby naweza kazi hiyo.
Hii ni kweli hata mm natambua hivo, ila siku za mustafi ,elneny, zinahesabika hapo arsenal
 
NAPOL WAMEHAMIA KWA LOZANO

Napoli will work on the direction for other options after Nicolas Pépé chose Arsenal .. Napoli will return to open negotiations with Hirving Lozano of PSV https://t.co/iIr6lXr47M
 
Arsenal walianza kumfuatilia tangia msimu ulipoisha ila dau lake likawatisha kidogo.

Ndipo waliporudi Uingereza na kuanza kumfuatilia Zaha lakini Crystal Palace kwa kuwasikiliza timu zingine mahasimu wakaweka kauzibe na kutaka hizo pauni 80M

Lakini wakaona dili la Zaha linazingua, wakaenda tena Lyon kujaribu maana muda waenda ati.

Halafu Pepe ana miaka 24 mdogo kwa Zaha mwenye miaka 27 na Pepe anachezea upande wa kulia pembeni.

Hivyo Aubameyang au Iwobi watakuwa upande wa kushoto na Pepe upande wa kulia.

So kwa sasa wachezaji 4 watakuwa wamesajiliwa ambao ni kiungo wa kati yaani "Central Midfielder" Dani Ceballos, mshambuliaji wa pembeni Gabriel Martinelli na mkoba William Saliba, ambae atabakia kwenye timu yake ya Saint-Etienne kupata uzoefu zaidi.
Mm imeniuma sana ,kwa Zaha jamaa namuelewa sana ,Wenger alimtakaga kipind yupo championship, fergie akamuwahi, enzi hizo zaha ana miaka 18,
 
Kaveh reporter wangu wa Sky analeta utani

Siku tulipo bid 80 kwa pepe , vyombo vya uingereza vilisema ni Uongo, LE Equipe , walisema kuna Liver ,Arsenal, man u,

Kina kaveh , Darmaesh, David Ornstein wakasema ni Uzushi
Screenshot_2019-07-27-14-56-08.jpeg
 
"Aubameyang and Lacazette will not be leaving Arsenal to help finance this deal"

Okay Arsenal fans, @bbcsport_david is here to talk you through the Nicolas Pepe deal and what this means for Wilfried Zaha and Kieran Tierney.

#bbcfootball #AFC https://t.co/D6XknU7324
 
Nicolas Pepe will become an Arsenal player. Napoli have given up their chase as they cannot compete with Arsenal financially, and have moved in for Mexican international, Hirving Lozano. Spazio Napoli were very accurate for Torreira news last year.

 
Ornstein says the £45m budget reported is valid and adds that Arsenal are fitting it around their budget by paying in installments for Pepe. He also states that he previously reported £45m, now not sure as to exactly what the budget is.
 
Mustafi Mustafi Mustafi .
Kama unaniskia nikuombe msimu huu utulipe gharama ya machungu uliyotuletea last season.
Still wengine tunakuamini, tuliza kichwa hicho.Mbona ulikua vizuri mwanzo, unakwama wapi nowadays.
 
Back
Top Bottom