Mkuu hiki ndio kilichomuondoa sven, baada ya kuondoka Gazdis uongozi mpya ukaleta utaratibu wao wa kufanya kazi na maagent, yeye alisema arsenal inamiliki kampuni ya data analysis hivyo hakupenda negotiations za kutumia agents, vp maoni yko mkuu AROON unasimamia wapi upande wa sven, au sanllehi?
Kwanza upo sahihi , timu ilikuwa haifanyi kazi na maagent ,hili lilikuwa tatizo kupata Top players,
Sven anadai hakupewa power kwenye maswala ya usajiri ni kama Emery na Raul walikuwa hawampi ushirikiano ,
Ila na appreciate uwezo na jicho la kuona vipaji la SVEN,
Gazid alitaka kuharibu klabu na matatizo yote ya klabu ana husika kwa sehemu Fulani,
Kuanza kuwatumia mawakala ni moja wapo ya Sera nzuri ambayo haikuwa sera ya Arsenal, hivo itasaidia
Raul ni master mzuri wa fitna
Hussy fahmy Chief negotiator ni mtaalamu wa kuandaa structure za Installment
Kuna Edu , huyu kazi yake ni kusaka vipaji Hasa Brazil,
Hivo uwepo wa hii Management mpya na project yao Ni Mwanzo mzuri ,baada ya project ya kina Gazid na genge lake kufeli.
Kitu kingine baada ya FAMILIA YA STAN KREONKE kupata full ownership ya 100% Arsenal ,titarajie wakiwekeza hata kama ni kidogo , maana hawa kuwa wakimiliki his a zote ,
Kule USA ana timu yake ambayo anaimilik kwa 100% ,mwaka Jana aliwekeza £1.5billion ,
Hivo KREONKE SPORT INVESTMENT(KSE) kwasasa wamejinasibu kuwa wana nia njema na watawekeza ,
Tusubiri tuone