Enlightenment
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 1,321
- 3,307
Sasa kama Germio ambao wanamiliki 50% wanataka hiyo €35M huoni itahitajika si chini ya €70M kumpata huyo Everton?Kwa mujibu wa emery alisema kuna mchezaji mmoja wa gharama tutamnunua,
Ukiangalia Target namba 1 ya Arsenal ni Zaha ,
Everton ni plan B ,
Na taarifa kutoka Brazil zinasema Anasheshughulikia hilo swala ni Edu, so kwanini useme tutashindwa kutoa hiyo hela japo Bei yake haiwekwi wazi sana maana anamilikiwa na Pande 3 , ambapo Gremio wanahitaji €35m , na ndio wanamiliki kwa 50%,
Arsenal wanajiandaa kupeleka 55+one player for loan kwa palace , So ikishindikana basi tegemea Plan B ambaye ni Everton .
Tusubiri tuone
Hii inshu bado tete sana.
Pia defense yetu bado ni mbovu, msimu uliopita tulifungwa magoli mengi ya uzembe wa hali ya juu. Tunatakiwa kupata CB mzuri aliye kiongozi ili kutuliza ukuta. Hawa defender wa miaka 18 wengi bado hawaja-mature(ondoa ref.ya de light).
#HolaDani 