SKY SPORTS | Arsenal have made an improved bid of £25m for Celtic Left Back Kieran Tierney.
This is expected to be accepted by the Scottish club and will be the most expensive transfer in Scottish football history!View attachment 1153044
Nilisema Arsenal watarudi na dau kubwa na hii 25M yatosha kabisa kuwazingua Celtic na mazungumzo ya kukamilisha usajili yatafanyika.
Kumbuka Tierney tayari amekubali personal terms na Celtic walikuwa wanafahamu Arsenal watarudi na improved bid.
Halafu, viongozi wa Arsenal wako LA kwa mazungumzo na Stan Kroenke na mwanae Josh ili kuomba aruhusu wa-splush pesa na baada ya kesho utaona usajili wa targets zote muhimu unafanyika.
Stay Tuned.
Yap , ulisema kweli , na hiyo hela ndio Celtic walihitaji,
Nilichoona ujio wa Edu utasaidia sana kwenye usajiri , baada ya kikao cha kesho naweza kuona sura mpya ndan ya emirates
Nilichogundua arsenal wapo bize kutafuta WINGER YA KUSHOTO kuliko ya kulia , INAMAANISHA winger ya kulia ataikamatia bwana NELSON,
Winger za kushoto ambazo Arsenal imeweka mkazo
ZAHA
PEPE
EVERTON
Na edu amemshauri Emery amchukue Everton Soares pia na Dan alves ,
Lets wait
Arsenal’s latest bid was submitted to Celtic on Friday and Kieran Tierney is keen for the move to happen. It is complicated by the breakdown and nature of the instalments Arsenal are proposing - but there remains optimism that the transfer will be completed #AFC #CelticFC https://t.co/biLr8DOSdxView attachment 1153412
Arsenal has came back with an improved £25million bid for Tierney! Big news as this would get us our left back and Montreal could play central in a back three, now we can sell Koscielny!
They’re considered reliable for info on Gremio https://t.co/EbcS5DsEKK
Nusu bei shida kivip. ,ikiwa Ozil bado yupo Arsenal, Arsenal haiwez kumleta Ziyech wakati kuna Micky na Ozil, inabid mmoja awe Affloded ,Duh
Arsenal hata nusu bei tu shida
Mtapotea mazima kabisa kama mtaendelea hivi baadae mnakuwa kama Newcastle View attachment 1154182
Arsenal wamchukuaje Ziyech ikiwa Ozil bado yupo?Duh
Arsenal hata nusu bei tu shida
Mtapotea mazima kabisa kama mtaendelea hivi baadae mnakuwa kama Newcastle View attachment 1154182
Afflod ya ozil ndio nini?Arsenal wamchukuaje Ziyech ikiwa Ozil bado yupo?
Hata Liverpool ,n.k wanamuhitaji, mchukueni
Overmas aliwapa Arsenal ushauri , Arsenal hawajautendea kaz maana , Hawajafanya Afflod ya Ozil
Kumbe wewe ni shabiki wa Arsenal.Naamini Arsenal itafanya vizuri ilishindwa kumaliza vizuri kwa udhaifu wa mabeki wa kati , kikosi ni kile kile cha muhimu bodi iongeze CB mmoja na AM mmoja ,RW yupo nelson, LW aletwe kati ya hao wanaotakiwa akija Zaha , Everton au pepe basi timu itakuwa imara.
Arsenal alikuwa na nafasi ya kumaliza nafasi ya 3 kabla mechi 5 kuisha maana Chelsea alikuwa wakawaida ,sasa wamefungiwa kusajiri ,no hazard .
Maana hata huyo Tottenham anayepewa nafas ya kupambana na Liverpool na man city alikuwa na form mbaya ugenini ,
Man united usajiri wake ni ule ule wa kuongeza waingereza tu sioni jipya kwake ,
Stay tuned

| #AFC Transfer News
Nacho Monreal - “That’s all rumours. I belong at Arsenal, I still have a contract. My idea is to stay here. It’s a great club and I feel really comfortable playing for Arsenal. My idea is to continue playing here.” #AFC
Arsenal et Tottenham se livrent une belle bataille pour acheter William Saliba, le jeune défenseur de Saint-Etienne !
Toutes les infos avec @mohamedbouhafsi dans le #RMCSportShow #RMCLive https://t.co/WD0fKA6N9q
https://t.co/zzaS2ENsm2 #bbcfootball https://t.co/roAFybTZIM