Mimi naomba niseme kitu, ni bora ukawa fans wa man u, wapo na spirit ya mabadiliko.
Ni bora uwe fans wa Chelsea na wao wana spirit ya mabadiliko.
Lakini ARSENAL na EMERY wenu nawaambia mtabaki hivi hivi juu mkate chini tambi, mkisubili miaka kama kumi ya kocha huyu ipite.