BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,900
- 11,699
Washabiki wa Nyumbu fcKama tunavyofaham ndugu zangu, kila wikiendi lazima kue na sadaka moja ya EPL. Mech ya liverpool ile ilikua ina uzito sana sana mana timu zote zilikua kubwa. Mjiandae kisaikolojia.
Sadaka ya Epl ya leo ni nyie
Ni ramli tu ndio kazi yenu kwa sasa
All in all sioni mkiingia big4
13SEPTEMBER
