Mr. Mangi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,512
- 771
Hahahaha man u na tot mtakufa kwa presha na sisi hatuna muda leo lazima tumchinje mtu
Hahahaha man u na tot mtakufa kwa presha na sisi hatuna muda leo lazima tumchinje mtu
Ni muda wa Maitland Niles kupata namba kwenye 1st eleven now, sio kuwa sub ya belleMkuu kwa namba 3 tunahitaji mtu pale ,maana nacho anasepa anabak kolasinac pekee, na kolasinac huwa huwa ana majeruhi Mara kwa Mara, hivo kwa msimu ujao lazima tuingie sokon kutafuta fullback experienced kama Tagliafico, Alaba , hatuwez kuwa serious kama tutabak na kola halafu wakumsaidia awe kinda,
Kwa beki namba 2 tusiponunua sitashangaa maana belle akirud , atasaidiana na Dogo Ainsley Maitland Niles ambaye binafs namkubali akicheza kama WINGBACK , na Sio kama Bek namba 2
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Upo sahihi lakin iwapo hatutakuwa na majeruhi , basi hizo game za away tutashinda bila tabu ,Must win game..
Come on gunnerz..
Sina tabu na game za arsena nyumbani, kimbembe ni away games, nazihofia saana game zilizobaki away sijui km tutakusanya point 3 tatu huko kwenye kambi ya upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app

Kama ni ww utajibuje hapa maana mimi imebid nicheke tu
Tupo nyumban ,ushindi muhimuLeo mshindwe wenyewe kazi mliyoitaka tumeikamilisha jana
jibu ni ndio atakubali kipigo cha 7ARSENAL wamewafunga NEWCASTLE mechi 6 mfululizo zilizopita
BENITEZ atakubali kipigo kingine leo?
Kama ni ww utajibuje hapa maana mimi imebid nicheke tu
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Aroon ni komando kipensi toreiraWadau mpoo daah kitambo sana. AROON safi umelisimamia jahazi vizuri naona mmbo yanajipa yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnamtenga sana ndy shida yenu.Wadau mpoo daah kitambo sana. AROON safi umelisimamia jahazi vizuri naona mmbo yanajipa yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo ndugu, umepoteaWadau mpoo daah kitambo sana. AROON safi umelisimamia jahazi vizuri naona mmbo yanajipa yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Majukumu tu ,tunapokezanaMnamtenga sana ndy shida yenu.
An update on our absentees...