Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Labda kwa kuwa hakumaliza match baada ya kuumia. ila kwa kweli jamaa anaongeza ile kitu inaitwa steel at the midfield and attacking threat as well, one goal and another disallowed.
Nimesoma BBC News inaonesha ndo mchezaji mwenye ratings za juu zaidi akifuatiwa na Ozil.
Sema Ozil kapewa kwa kuwa Ramsey hakumaliza mechi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu Guendozi ana hatari zile pass zake ndefu zikazaa goli zote mbili
Hata sijaelewa Ozilamekuwaje man of the match. Kwa upande wangu, ingawa sijaziona players ratings, lakini Guendouzi ndiye aliyekuwa akistabilize timu na amefanya tacles/interceptions amepiga pasi nyingi na pitch coverage yake ilikuwa kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Full time: Arsenal 2- Newcastle 0
(Bao mbili safi kabisa refa katubania..)


Ushindi huu ni wa 10 mfululizo kwenye ligi kwa game za nyumbani, mara ya mwisho kwa kitu kama hiki kutokea tulikua bado Highbury na ubingwa tukachukua! Ushindi huu unatupandisha kwenye top 3, Ikumbukwe kuwa Spurs ambaye tumemshusha kuna kipindi msimu huu huu alikua katuacha point 10. Champions league inanukia!!

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Points won at home this season:-

45 Man City
44 Arsenal
44 Liverpool
32 Chelsea
32 Man Utd
28 Spurs

We are different beast at home.
IMG-20190402-WA0004.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Tuko vizuri sana mpaka sasa, na hata hao Everton hiyo trh 7 lazima wachapwe...
 
Arsenal manager Unai Emery said midfielder Mesut Ozil is "playing like we want" after producing a man-of-the-match performance against Newcastle.

Ozil, at times out of favour since the Spaniard took over this season, helped the Gunners to a 2-0 win - their 10th consecutive home league victory.

"I like how every player is playing and Mesut with his quality is helping us and giving us his work," he said.

"Also individual moments and skills, he has the capacity to help us."

Prior to Monday's win, Ozil had only started three league games since Boxing Day. In February, Emery stated that the German had to be "consistent in training and in matches, without being injured or sick". He later added that the midfielder wouldcontinue to be rotated.

However, following the display against the Magpies which saw him win the official man-of-the-match award ahead of Aaron Ramsey, Emery said: "Mesut is playing like we want, with the system and tactically. He is working a lot and after that work he is also giving us his quality."

Arsenal's win saw them go above north London rivals Tottenham and Manchester United to take third spot in the Premier League.

Emery said his side face a tough task to hold on to that position until the end of the season.

Media playback is not supported on this device

Unai Emery says Arsenal are in a 'good moment'

"Spurs, Chelsea and Manchester United will win a lot of matches. It's going to be difficult and the next game at Everton is very difficult," he said.

"We need to continue being consistent, continue creating a big mentality, learning when we need to struggle and when we need to push together."

Aaron Ramsey scored the opener before going off in the 67th minute with what Emery described as a "small injury". French striker Alexandre Lacazette sealed victory with a deft chip seven minutes from time.

Asked if Juventus-bound Ramsey's display proved what he could have achieved if he stayed, Emery added: "Aaron is happy, he's helping us. He's playing with big performances. We need to create a big atmosphere. He knows we are in the most important moment in the season and we need every player."

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Emery on injuries: "I hope he (Ramsey) will be ok for Sunday, it was cramp. He (Auba) has a temperature for 2 days & was a doubt to play. He came with us to start from the bench, he felt good. Koscielny was in the squad but with some pain, he said to us he wasn’t ready to play" https://t.co/2ht4ssguxh
IMG-20190401-WA0021.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Bado klabu inatafuta mtu wa kusaka vipaji

Ashirikiane na DIRECTOR OF FOOTBALL, HEAD OF FOOTBALL NA HEAD COACH
afcupdates1-20190402-0002.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Arsenal tulizingua mnoo kuachana na bwana steve.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemekana jamaa ana kiburi sana ,maana alishidwa kuelewana na wenzake kina RAUL na EMERY,

Kumbuka hata BVB alizinguana na TUCHEL,

Anataka akikutajia watu msijadili ,mfano inasemekana kina emery na Raul walimtaka Denis Suarez, yeye akawa hamtaki pia kuna majina alipendekeza kama Nicolas Pepe, Cengz under , Sasa Arsenal ikashindwa kuwanunua maana UEFA FAINANCIAL FAIR PLAY ilikuwa inatubana kununua ,labda kukopa tu,

Wage bills ilikuwa inatakiwa isizid 7% ,ya mapato ya klabu, na tayari Wenger kabla ya kuondoka alikuwa amewapa mikataba wachezaji wengi kama kina ozil 350k , na klabu haikufuzu UCL hivo tukapungua kwenye INCOME ,

Yeye Sven kaja akawa hajui hii issue ,akataka wale alio warecruit waletwe , akaambiwa kwasasa hatuwez kununua.,maana itatakiwa tuwalipe mishahara na tutafungiwa kama inavyotokea kwa Chelsea , japo situation tofauti ,

Option ikawa either tuwauze wachezaji wenye mishahara mikubwa then ndio tununue kwa dirisha la January,

Na kama unakumbuka kukawa na mzozo Ozil auzwe ili kuweka gape la mishahara, maana angeuzwa kwa mshahara wake wa 350k, unaleta wachezaji hata watatu na unawalipa Hugo mshahara,

Option nyingine ikawa tuchukue wachezaji kwa mkopo then mwisho wa msimu ndio tuwanunue jumla kama tutaridhika nao, vilabu vingi vilikataa vikitaka tununue jumla,

Barca tulivutana sana mwisho wakamruhusu Denis,

Kina persic, carrasco tuliwakosa vilabu vyao vilikataa,

Bwana Sven akaona miyeyusho Akasepa , lakin ilikuwa ni jambo la kuelewana tu,



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Mechi ya 26:

: Tottenham - 60
: Arsenal - 47

Mechi ya 31:

: Arsenal - 63
: Tottenham - 61
Katika wiki ya 26 ya Epl Arsenal alikuwa anaoneka hawezi kufika top 4 lakin leo wiki ya 31 Unai Emiry amechanga karata zake vizuri na kuruka mpaka nafasi ya 3
Arsenal jana wamefikia pointi 63 katika michezo 31 ambazo mwaka jana tulimaliza na poibti 63 katika michezo yote 38
Arsenal amebakisha michezo 7 ambayo ni sawa na pointi 21 hvyo kwa makadirio Arsenal abaweza akamaliiza na point 84 msimu huu iwapo akishinda mechi zote zilizobakia
arsenalviral-20190401-0001.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Spurs naona ana game rahisi sana halafu nyingi nyumbani. Tatizo lake kikosi finyu

Mpinzani wetu mkubwa hapo kwa kweli ni man u. Tuombe apigwe Leo, game na man city pia apigwe

Chelsea sina presha nao kwasababu naona kuna mechi mbili hapo watakula za mbavu
IMG-20190309-WA0010.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Spurs naona ana game rahisi sana halafu nyingi nyumbani. Tatizo lake kikosi finyu

Mpinzani wetu mkubwa hapo kwa kweli ni man u. Tuombe apigwe Leo, game na man city pia apigwe

Chelsea sina presha nao kwasababu naona kuna mechi mbili hapo watakula za mbavuView attachment 1060762

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Ahsante mkuu mana naona kuna kitu umetambua hivi
 
Spurs naona ana game rahisi sana halafu nyingi nyumbani. Tatizo lake kikosi finyu

Mpinzani wetu mkubwa hapo kwa kweli ni man u. Tuombe apigwe Leo, game na man city pia apigwe

Chelsea sina presha nao kwasababu naona kuna mechi mbili hapo watakula za mbavuView attachment 1060762

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Naomba niambie ni mechi zipi unajua hata iweje lazima Chelsea alie. Ujibu kulingana na limit ya mech ulizotoa
 
Spurs naona ana game rahisi sana halafu nyingi nyumbani. Tatizo lake kikosi finyu

Mpinzani wetu mkubwa hapo kwa kweli ni man u. Tuombe apigwe Leo, game na man city pia apigwe

Chelsea sina presha nao kwasababu naona kuna mechi mbili hapo watakula za mbavuView attachment 1060762

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Nikusahihishe tu....leo karma itafanya kazi
 
Naomba niambie ni mechi zipi unajua hata iweje lazima Chelsea alie. Ujibu kulingana na limit ya mech ulizotoa
Ya Liverpool na moja wapo kati ya westham au ya man u

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Back
Top Bottom