Uhalisia uliopo.
Arsenal atashinda game na toten lakini game yake na mwanitesa United itakuwa ngumu sana. Manchester hawezi shinda pale Emirates kwa sasa akipata ushindi mkubwa itakuwa sare ambapo bado atabaki kuwa nyuma ya arsenal endapo pia atampiga soton.
Ktk game ya man na arsenal manure watapewa point chache na arsenal atapewa nyingi ambapo wengi watazikimbia na zitatoka.
Utabiri wangu ni kuwa totenham top 4 atatolewa kwani kikosi kimeoza pia inaonekana kuna underground conflict kwa wachezaji.
Top 4
Arsenal
Man city
Liverpool
Man
Sent using
Jamii Forums mobile app