Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shwari kamanda! Ulisikia nilienda kujaribu karata kwenye siasa? hahahahahah
Yeah kamanda,kuna post nilisoma kwamba umeenda Kishapu kujaribu kumrithi Mpendazote ukaangukia pua kama mheshimiwa sana Tingatinga.
 
Yeah kamanda,kuna post nilisoma kwamba umeenda Kishapu kujaribu kumrithi Mpendazote ukaangukia pua kama mheshimiwa sana Tingatinga.

HAhahahahaahh ila mzee wewe ulimtabiria yule rafiki yako Lusinde, Mzee wa Sauti za radi akakutishia anakujua ukaogopa sana! Lakini jamaa wa Mtera wamefanya walitakalo....hahahahahahah
 
HAhahahahaahh ila mzee wewe ulimtabiria yule rafiki yako Lusinde, Mzee wa Sauti za radi akakutishia anakujua ukaogopa sana! Lakini jamaa wa Mtera wamefanya walitakalo....hahahahahahah
Bwana wee,unajua wabongo wameamka,si wajinga tena.Tulijua ni lazima Kibajaji chetu(Livingrtone) lazima kiangushe Tingatinga..Kampeni zilikuwa kali hasa,hatukulala....Ndo maana tulipotea jamvini aisee...Thank God kimeeleweka na babu kakubali matokeo...Mbuzi kala mbwa...hahaaaaa
 
Bwana wee,unajua wabongo wameamka,si wajinga tena.Tulijua ni lazima Kibajaji chetu(Livingrtone) lazima kiangushe Tingatinga..Kampeni zilikuwa kali hasa,hatukulala....Ndo maana tulipotea jamvini aisee...Thank God kimeeleweka na babu kakubali matokeo...Mbuzi kala mbwa...hahaaaaa

Wananchi wako macho sana! nadhani habari za Kyela unazo
 
Muulize Sikonge ana full mkanda🙂 ha ha

Pole sana kwa kukosa kura za maoni na wewe!!Old chap,ha ha


Mh Rev Masanilo, inapendeza sana....subiria 2015 nitaenda na sera zenyemashiko na uowongo zaidi......! Arsenal fans kuleni CCM kura Chadema.....BJ naweza iazima sahihi yako?
 
Mh Rev Masanilo, inapendeza sana....subiria 2015 nitaenda na sera zenyemashiko na uowongo zaidi......! Arsenal fans kuleni CCM kura Chadema.....BJ naweza iazima sahihi yako?

Ooh Rev.Masa kwenye hilo game la siasa ni kutokata tamaa japo unatumika kwelikweli kuanzia pesa halafu hupati kitu..Jipange upya!!
Yes ofcourse, azima hiyo sahihi no worries Rev!..God bless🙂

Niwekee picc ya Walcott,nimemwomba Wacha1 kala bati..Arsenal nzima nampenda yeye na prof!!:tongue:
 
Ooh Rev.Masa kwenye hilo game la siasa ni kutokata tamaa japo unatumika kwelikweli kuanzia pesa halafu hupati kitu..Jipange upya!!
Yes ofcourse, azima hiyo sahihi no worries Rev!..God bless🙂

Niwekee picc ya Walcott,nimemwomba Wacha1 kala bati..Arsenal nzima nampenda yeye na prof!!:tongue:

Naona wivu

Enjoy na hii!
avatar6153_4.gif
 




Jinyonge khe khe kheeeeeeeee






Nawe Belinda una vijimambo picha za Theo nimekuwekea hapa

Napenda kukuchokoza,ha ha..kumbe bado unafurahia na sisi ushindi wa ManU!!..

Nilijua ni same thread kumbe tofauti, nimeona..yani weekend imeisha vizuri sanaa na ushindi wa leo!
 
HAhahaha mchokozi wewe! Jimbo mla uchaguzi tinga tinga anavua samaki huko

nimtakie nini huyu mzee jamani Rev,mwache apumzike kulea wajukuu!!..atakuwa mpenzi wa Fulham nahisi,ha ha

Nenda thread ya Emirates-New Era utaona pics za Arsenal incl.Walcott..nice ones
 
nimtakie nini huyu mzee jamani Rev,mwache apumzike kulea wajukuu!!..atakuwa mpenzi wa Fulham nahisi,ha ha

Nenda thread ya Emirates-New Era utaona pics za Arsenal incl.Walcott..nice ones

Uzee ni dhahabu shaurilo!
 
..." Mzee wa Kura tatu" ndio nini kutujazia post za siasa hapa jamani?
Arrrggggghh! ...unamfanyisha mpaka BJ nae akuige!

Wacha1 weka picha bana! Msimu huu maneno machache picha kwa wingi..!



gun__1278921578_fabregas_worldcup1.jpg

Cesc Fabregas... won the World Cup with Spain


...International Watch: 14 Gunners called up!!!
 
arsenal nzuri,ila inahitaji viungo wakabaji wenye nguvu,sio nyoronyoro kama kina diaby,inatakiwa iwe kama ile kina gilberto silva na vieira,ikipata kiungo kama van bommel,busquets wakiwa na fabregas nadhani inaweza kuwa bora england,la sivyo man utd itazidi kuwafunga kwa kutumia nguvu,chelsea msimu huu inaweza kupoteza kwa arsenal,mchezaji alikuwa ballack mkabaji.
 
..." Mzee wa Kura tatu" ndio nini kutujazia post za siasa hapa jamani?
Arrrggggghh! ...unamfanyisha mpaka BJ nae akuige!

Wacha1 weka picha bana! Msimu huu maneno machache picha kwa wingi..!



gun__1278921578_fabregas_worldcup1.jpg

Cesc Fabregas... won the World Cup with Spain


...International Watch: 14 Gunners called up!!!

asante sana mkuu kwa hii picha,masanilo siku ya kwanza ya world cup ilipoanza june 11 akaja na hesabu ya wachezaji wa chelsea walioenda kuwakilisha mataifa yao kwa mbwembwe nyingi na kutuuliza hesabu ya wachezaji wa arsenal.

cha ajabu siku ya mwisho ya world cup july 11 kashindwa kutoa hesabu ya wachezaji wa chelsea waliobakia kwenye siku hio muhimu, alibaki kanuna hajui ashangilie timu gani manake huku kulikuwa na Fabregas huku Van persie lol.
 
Back
Top Bottom