Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shida ya hii timu bwana, wanahusishwa wachezaji kama kumi hivi. At the end hawasajili hata mmoja. Arsenal wabahili balaa..
Kwa denis tayar kiongoz ,usiwe na wasiwasi
IMG-20190130-WA0020.jpeg
IMG-20190130-WA0019.jpeg
IMG-20190130-WA0018.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
- Mchezaji kinda wa Klabu ya Arsenal, Emile Smith Rowe tayari kuwasili Nchini Ujerumani kukamilisha vipimo vya afya kujiunga na Klabu ya RB Leipzig.
.
- Bingwa huyo wa Dunia Akiwa na timu yake ya taifa ya England U17, anatarajia kujiunga na Klabu hiyo ya Bundesliga kwa mkopo mpaka mwishoni mwa msimu huu hii Ni baada ya The Gunners kukamilisha Dili la Usajili wa Kiungo Denis Suarez kutoka FC Barcelona.
.
- Kinda mwingine, Eddie Nketiah nae yupo hatua za mwisho kabisa kukamilisha Usajili wake wa mkopo kujiunga na Augsburg nayo pia ya Ujerumani, anatarajia kucheza Hapo mpaka mwishoni mwa msimu huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii wiki wale jamaa hawatatia mguu jukwaa hili.. Yaani ni kimya... Kweli premier league haifai.. Yaani hata tottenham ili almanusura

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeingia top 4 sasa baada ya mtu kupigwa 4g ofcourse life is not fair after Bournemouth win over Chelsea.
Liverpool chupuchupi totenham naye kaponea juu juu.
Tusubiri game yetu na citu tufanye maajabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unai anaitajika kutafuta matokeo pale etihad ata kwa figisu ili tubak pale 4 position
Apa namaanisha kuja na plan C ambayo hawaijui, plan ambayo tusilazimishe kucheza mpira ila tuwe tunaonekana kwenye mashambulizi tu (mfano Newcastle)
Apa torreira, Ramsey, kolasnic,lacazette, auba, xhaka, (nazungumzia man power)
Wanahitajika zaidi ya pumzi, apa ozil bado nafikiria awepo au asiwepo

Iwobi, elneny ata uwanjani wasije maana wanaweza pangwa kwa bahati mbaya ikiwezekana wapewe nauli waje kutembelea ndugu zao uku africa

Majerui ya walinzi yanatugharimu sana na hii ata unai ataikumbuka katika maisha yake


#COYG

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unai anaitajika kutafuta matokeo pale etihad ata kwa figisu ili tubak pale 4 position
Apa namaanisha kuja na plan C ambayo hawaijui, plan ambayo tusilazimishe kucheza mpira ila tuwe tunaonekana kwenye mashambulizi tu (mfano Newcastle)
Apa torreira, Ramsey, kolasnic,lacazette, auba, xhaka, (nazungumzia man power)
Wanahitajika zaidi ya pumzi, apa ozil bado nafikiria awepo au asiwepo

Iwobi, elneny ata uwanjani wasije maana wanaweza pangwa kwa bahati mbaya ikiwezekana wapewe nauli waje kutembelea ndugu zao uku africa

Majerui ya walinzi yanatugharimu sana na hii ata unai ataikumbuka katika maisha yake


#COYG

Sent using Jamii Forums mobile app
Wee jamaa umenitengenezea siku mno nimecheka hadi kujamba.
Duuuh kwa kweli jukwaani raha sana.
We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suarez to #afc on loan is confirmed. Emery: “We are very happy that Denis Suarez is joining us. He is a player we know well and I have worked with him at Sevilla. He brings us quality and options in many different attacking positions, so he’ll be able to help the team.”

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom