Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mbona mpunga wa kawaida sana?Almost €115k per week!siamin kama Arsenal wameshindwa kulipa kiasi hicho?

Anaenda kusugua benchi maana sioni mchezaji ambae anaweza kumueka benchi kwa pale kati Juve na nikiangalia age yake nahisi anaenda jimaliza tu
Juve mwenye uhakika na namba ni Ronaldo na golikipa ataenda kupambania namba kuongeza kikosi kipana
 
Di Marzio journalist from italy huyo huwa hadanganyi , huenda dili likakamilika mapema , tusubiri tuone,

Je mnamzungumziaje huyu mtu kama akija kwenye squad yetu
Screenshot_2019-01-05-07-03-49.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa clip nilioiona ya Denis Suarez barca hawatakubal kumuuza uyu mtu
Ana mambo flan iv ambayo neymar alikua anayo na countinho, sasa yapo kwa mtu mmoja
Yan ana dribble mpira uku miguu ikipasiana, anaingia katikat ya mabek, anajaribu kushut nje ya box, penetrating pass yupo vyema na pia anakaba sasa barca wanamuuzaje uyu mtu
Mara ya mwisho barca alifanya hvyo kwa fabregas ambae kipaj chake hakikuonena ila uyu D.Suarez mimi binafsi ntakua wa mwisho kuamini

Barca wanamuhitah D.Suarez zaid ya arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa clip nilioiona ya Denis Suarez barca hawatakubal kumuuza uyu mtu
Ana mambo flan iv ambayo neymar alikua anayo na countinho, sasa yapo kwa mtu mmoja
Yan ana dribble mpira uku miguu ikipasiana, anaingia katikat ya mabek, anajaribu kushut nje ya box, penetrating pass yupo vyema na pia anakaba sasa barca wanamuuzaje uyu mtu
Mara ya mwisho barca alifanya hvyo kwa fabregas ambae kipaj chake hakikuonena ila uyu D.Suarez mimi binafsi ntakua wa mwisho kuamini

Barca wanamuhitah D.Suarez zaid ya arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, barca wamekubali kumuuza, tena wamemwambia achague kubaki barca ambako hana namba kikos cha kwanza ,au aende kat ya arsenal au chelsea , yeye kapenda arsenal

Na Di marzio kasema arsenal wanaendelea kunegotiate ,

Nimeona taarifa nyingine, arsenal wanamtaka kwa mkopo wa had mwisho wa msimu, ila barca wanataka arsenal ije imnunue kwa £18m

Pale barca huwa mpaka uwe na consistency ya hali ya juu, unaona kinachomkuta coutinho , anakula bench , na dirisha la summer atahusishwa kusepa, the same na kina Sanchez,

Ili barca mchezaji awaweze inabid awe form kwa mech nyingi, mfano ni dembele



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aron ramsey leo amethibitisha kusain dili na juventus kwa kipindi cha miaka mitano

Ramsey:Nimekuwa hapa kwa kipindi cha miaka 10 nazani hakuna mchezaji ambae amedumu kwa muda kama niliokaa mimi ndani ya arsenal ambae yupo hadi sasa..napenda kila kitu ndani hii klabu nimeanza kucheza timu ya vijana pamoja na kina theo (walcott) oxlade chamberlain hadi kuitwa timu ya wakubwa 2008 nikiwa na miaka 17 hivi sasa nina miaka 27 napenda kuwashukuru mashabiki pamoja na viongozi wa arsenal kwa sapoti yao kwangu
Arsene wenger kwangu ndie mtu nitakae mkumbuka katika maisha yangu yote alinitoa kule kwetu wales had england nikiwa nina miaka 14..Tumekuwa pamoja kwa muda mrefu sana katika furaha na karaha nakumbuka mwaka jana kabla hajaondoka aliniambia nibakie arsenal ili nami niwe legend km denis bergkamp henry na rosicky lakini nasikitika hilo haliwezi kufanikiwa
Nazan kocha wa sasa hv ana falsafa zake ambazo hazinihitaj mimi na baadhi ya wachezaji
Ila mimi nitakuwa balozi wa arsenal na nafikiri ipo siku nitarud tena hapa kwa mara nyingine tena
AHSANTENIView attachment 986235

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah inasikitisha mby

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kumekucha!

Usajili Arsenal: usajili wa Denis Suarez kukamilika ndani ya masaa 48

1546700031909.png

Denis Suarez


Arsenal inatarajia kukamilisha usajili wa mchezaji wa kiungo wa Barcelona Denis Suarez ndani ya masaa 48 bila kusita.

Usajili wa Suarez ni katika kuhakikisha Arsenal inawazidi kete timu za AC Milan na FC Roma ambazo nazo zinamfukuzia mchezaji huyo.

Denis aliwahi kuchezea timu ya Sevilla timu iliyowahi kufunzwa na kocha Unai Emery inaaminika anakuja Arsenal kuziba nafasi ya Aaron Ramsey ambae anakwenda kuchezea timu ya Juventus ya Italia.

Suarez ni zao la chuo cha mafunzo cha Manchester City au Academy ambako alikaa kwa miaka miwili akifunzwa mpira kabla ya kwenda Nou Camp ambako nafasi yake ya kucheza imekuwa haba.

Denis Suarez anaweza kucheza namba 10 kwenye mtindo wa 4-2-3-1 ambapo anaweza kuziba nafasi ya Mesut Ozil au Aaron Ramsey akiwa na Alex Iwobi na nyuma ya Aubameyang.

Suarez pia anaweza kucheza upande wa kushoto kama mshambuliaji wa pembeni akiwa na Ozil ambae anaweza kucheza namba 10 nyuma ya Aubameyang.

Unai Emery pia anaweza kumuagiza Suarez kucheza katikati Central Midfield ili kumsaidia Matteo Guendouzi ambae amekuwa akipita majukumu makubwa yanayomchosha khasa ukizingatia umri wake mdogo.

Hivyo kwenye mtindo wa 3-5-2 ambao Lacazette na Aubameyang wanakuwa mbele, Suarez anakuwa akicheza katikati kwenye mtindo wa "Diamond" akiwa na Granit Xhaka na Lucas Torreira.

Hatuwezi kusubiri kumuona Denis Suarez akiwa amevalia jezi ya Arsenal.

Denis Suarez anaweza kabisa kutukumbusha Denis Bergkamp enzi zake.
 
Back
Top Bottom