Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu nadhani kufungwa Goli 5 ni zaidi ya kudhalilishwaaa... huyu anamalizia tu kuwadhalilisha....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilifika hatua wakamjaza TORROERA na kumfananisha na KANTE NGOLO ..hii ilikuwa ni dhambi kubwa sana wanaitenda bila wao kujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu ndani hamjambo mmeamkaje ??????
Mnajisikiaje na hali lakini
 
Kocha bora kwako sio kwa wote. Usilazimishe mtazamo wako uwe mtazao wa mashabiki wote wa arsenal.
 

Napenda kuwakumbusha waombolezaji kutoka Stamford Bridge, hapa ni msibani, msitegemee kushiba maharage hakuna mtakunywa chai na maandazi mawili mawili tu. Waombolezaji wanaendelea kufurika!
 
Kocha bora kwako sio kwa wote. Usilazimishe mtazamo wako uwe mtazao wa mashabiki wote wa arsenal.
Sasa unayemuona ni kocha bora kamlete mimi naangalia anachokifanya ktk mwanzo wake mbona vilabu vingi vimefukuza makocha na hao unaowaona wanafanya vizr wapo msimu wa pili na hizo timu.
Unaweza ukamlaumu ikiwa ana misimu miwili au zaidi. Unachokilalamikia wewe huwezi ningeona wa maana kama ungetoa hata option za usajili ktk idara zinazopwaya but unaishia kusema mbaya mbaya hizo ndiyo roho za waafrika wengi tulivyo ni lawama tu bila solution.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…