Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu kuwa na lugha yenye heshima kwa mashabiki wenzako hata kama wamepoteza game, kumfananisha binadamu mwenzako na mbwa ni kitendo cha udhalilishaji.
mkuu sikumaanisha samhani
,ila hawa mbuzi wanaongea sana,utasema kila msimu kombe huwa wanachukua wao
 
Mkuu usumlinganishe Firminho na vitu vya kijinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie bila kuwatandika kama goli kama 5 huwa mnadharau sana yote kwa yote Mumshukuru Klopp la sivyo ingeandikwa historia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…