Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 Dec 16, 2018 #62,201 Nyaluhusa87 said: Baada ya hizo game mbili ndo hajafungwa tena na wala haimaanishi unbeaten tokea msimu uanze Click to expand... Basi muwe mnafafanua, unbeaten since when! Maana ukisema tu unbeaten ukakaa kimya inajulikana ni toka mwanzo wa ligi, na tunajua ni timu moja tu ambayo ni unbeaten.
Nyaluhusa87 said: Baada ya hizo game mbili ndo hajafungwa tena na wala haimaanishi unbeaten tokea msimu uanze Click to expand... Basi muwe mnafafanua, unbeaten since when! Maana ukisema tu unbeaten ukakaa kimya inajulikana ni toka mwanzo wa ligi, na tunajua ni timu moja tu ambayo ni unbeaten.
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 1,303 Reaction score 262 Dec 16, 2018 #62,202 Don Clericuzio said: Basi muwe mnafafanua, unbeaten since when! Maana ukisema tu unbeaten ukakaa kimya inajulikana ni toka mwanzo wa ligi, na tunajua ni timu moja tu ambayo ni unbeaten. Click to expand... Sawa Mkuu Hiyo unbeaten ya Arsenal ni kwenye mashindano yote anayoshiriki
Don Clericuzio said: Basi muwe mnafafanua, unbeaten since when! Maana ukisema tu unbeaten ukakaa kimya inajulikana ni toka mwanzo wa ligi, na tunajua ni timu moja tu ambayo ni unbeaten. Click to expand... Sawa Mkuu Hiyo unbeaten ya Arsenal ni kwenye mashindano yote anayoshiriki
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 1,303 Reaction score 262 Dec 16, 2018 #62,203 2-2 Dk 52
McDonaldJr JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 6,386 Reaction score 7,561 Dec 16, 2018 #62,204 SOU 2-2 Arsenal Mikh...️
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 Dec 16, 2018 #62,205 Nyaluhusa87 said: Sawa Mkuu Hiyo unbeaten ya Arsenal ni kwenye mashindano yote anayoshiriki Click to expand... Hahaha, bado ufafanuzi unatakiwa either iwe ukiacha EPL au ukiondoa mechi 2 za mwanzo.
Nyaluhusa87 said: Sawa Mkuu Hiyo unbeaten ya Arsenal ni kwenye mashindano yote anayoshiriki Click to expand... Hahaha, bado ufafanuzi unatakiwa either iwe ukiacha EPL au ukiondoa mechi 2 za mwanzo.
milangomitatu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2016 Posts 1,469 Reaction score 1,167 Dec 16, 2018 #62,206 Don Clericuzio said: Hahaha, bado ufafanuzi unatakiwa either iwe ukiacha EPL au ukiondoa mechi 2 za mwanzo. Click to expand... Unbeaten in 22 matches sasa hujaelewa nini?
Don Clericuzio said: Hahaha, bado ufafanuzi unatakiwa either iwe ukiacha EPL au ukiondoa mechi 2 za mwanzo. Click to expand... Unbeaten in 22 matches sasa hujaelewa nini?
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 1,303 Reaction score 262 Dec 16, 2018 #62,207 Don Clericuzio said: Hahaha, bado ufafanuzi unatakiwa either iwe ukiacha EPL au ukiondoa mechi 2 za mwanzo. Click to expand... Hapo ni baada ya hizo game mbili za mwanzo kwenye mashindano yote Arsenal anayoshiriki
Don Clericuzio said: Hahaha, bado ufafanuzi unatakiwa either iwe ukiacha EPL au ukiondoa mechi 2 za mwanzo. Click to expand... Hapo ni baada ya hizo game mbili za mwanzo kwenye mashindano yote Arsenal anayoshiriki
rubaman JF-Expert Member Joined Sep 10, 2011 Posts 4,983 Reaction score 3,084 Dec 16, 2018 #62,208 Leo tunafungwa hata mkikataa
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Dec 16, 2018 #62,209 Iwobi atolewe,Ozil aingie
Mr. Mwalu JF-Expert Member Joined Feb 4, 2010 Posts 1,057 Reaction score 565 Dec 16, 2018 #62,210 Don Clericuzio said: Basi muwe mnafafanua, unbeaten since when! Maana ukisema tu unbeaten ukakaa kimya inajulikana ni toka mwanzo wa ligi, na tunajua ni timu moja tu ambayo ni unbeaten. Click to expand... Huyo ambaye hajaguswa, bikra yake mwaka huu kabla haujaisha itatolewa!
Don Clericuzio said: Basi muwe mnafafanua, unbeaten since when! Maana ukisema tu unbeaten ukakaa kimya inajulikana ni toka mwanzo wa ligi, na tunajua ni timu moja tu ambayo ni unbeaten. Click to expand... Huyo ambaye hajaguswa, bikra yake mwaka huu kabla haujaisha itatolewa!
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 Dec 16, 2018 #62,211 milangomitatu said: Unbeaten in 22 matches sasa hujaelewa nini? Click to expand... Kwani kwenye quotation zetu umeiona hiyo 22 matches? Huo ndo ufafanuzi wenyewe sasa, siyo mnajiita unbeaten bila kufafanua.
milangomitatu said: Unbeaten in 22 matches sasa hujaelewa nini? Click to expand... Kwani kwenye quotation zetu umeiona hiyo 22 matches? Huo ndo ufafanuzi wenyewe sasa, siyo mnajiita unbeaten bila kufafanua.
milangomitatu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2016 Posts 1,469 Reaction score 1,167 Dec 16, 2018 #62,212 Don Clericuzio said: Kwani kwenye quotation zetu umeiona hiyo 22 matches? Huo ndo ufafanuzi wenyewe sasa, siyo mnajiita unbeaten bila kufafanua. Click to expand... Hapo sawa Mkuu
Don Clericuzio said: Kwani kwenye quotation zetu umeiona hiyo 22 matches? Huo ndo ufafanuzi wenyewe sasa, siyo mnajiita unbeaten bila kufafanua. Click to expand... Hapo sawa Mkuu
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 1,303 Reaction score 262 Dec 16, 2018 #62,213 Ozil IN Iwobi OUT Dk 69 2-2
Rostema JF-Expert Member Joined Nov 27, 2018 Posts 2,926 Reaction score 9,475 Dec 16, 2018 #62,214 Nyaluhusa87 said: Ozil IN Iwobi OUT Dk 69 2-2 Click to expand... Good mechi itakuwa sawa sasa
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 Dec 16, 2018 #62,215 Mr. Mwalu said: Huyo ambaye hajaguswa, bikra yake mwaka huu kabla haujaisha itatolewa! Click to expand... Nani wa kuifanya hiyo kazi? Man City tunakutana naye 2019, huyo ndo mwenye hiyo hadhi angalau.
Mr. Mwalu said: Huyo ambaye hajaguswa, bikra yake mwaka huu kabla haujaisha itatolewa! Click to expand... Nani wa kuifanya hiyo kazi? Man City tunakutana naye 2019, huyo ndo mwenye hiyo hadhi angalau.
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 1,303 Reaction score 262 Dec 16, 2018 #62,216 Don Clericuzio said: Nani wa kuifanya hiyo kazi? Man City tunakutana naye 2019, huyo ndo mwenye hiyo hadhi angalau. Click to expand... Leo na Man U
Don Clericuzio said: Nani wa kuifanya hiyo kazi? Man City tunakutana naye 2019, huyo ndo mwenye hiyo hadhi angalau. Click to expand... Leo na Man U
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 1,303 Reaction score 262 Dec 16, 2018 #62,217 Duh!!angalau ni offside Hawa Soton wanakuja
Rostema JF-Expert Member Joined Nov 27, 2018 Posts 2,926 Reaction score 9,475 Dec 16, 2018 #62,218 Nyaluhusa87 said: Duh!!angalau ni offside Hawa Soton wanakuja Click to expand...
Don Clericuzio JF-Expert Member Joined Dec 8, 2017 Posts 16,930 Reaction score 40,585 Dec 16, 2018 #62,219 Nyaluhusa87 said: Leo na Man U Click to expand... Wachumba hao, nyie mliwalegezea, leo wanakutana na wanaume.
Nyaluhusa87 said: Leo na Man U Click to expand... Wachumba hao, nyie mliwalegezea, leo wanakutana na wanaume.
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 1,303 Reaction score 262 Dec 16, 2018 #62,220 3:2 Tumepigwa Dk 85