Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal Injury News: Shkodran Mustafi na Sokratis Papastathopolous kutocheza mechi na Southampton.

1544365056873.png

Mustafi na Sokratis wote wa kadi tano za njano hivyo kukosa mechi moja.

Arsenal inacheza na Southampton jumapili ijayo huku ikiwa na beki mmoja tu wa kati anaetegemewa.

Mabeki hao wawili walipewa kadi za njano jana kwenye mechi na Huddersfield dakika chache kabla ya mapumziko.

Kwenye dakika ya 67 Mustafi nae alitoka akijisikia maumivu ya musuli na nafasi yake kuchukuliwa na Nacho Monreal ambae nae ametoka kuwa majeruhi.

Robert Holding nae tayari yupo meza ya upasuaji akiuguza goti aliloumia kwenye mechi na Manchester United.

Laurent Koscielny ndie beki pekee mwandamizi aliebakia akiwa pamoja na wengine akina
Stephan Lichtsteiner, Mohamed Elneny na Nacho Monreal wamewahi kucheza nafai ya beki wa kati huko nyuma.

Beki mwingine Konstantinos Mavropanos ambae alisajiliwa na Arsene Wenger, nae bado anauguza majeraha.

Arsenal inaweza kumuita Calum Chambers ambae yupo kwenye timu ya Fulham kuja kuziba pengo la Mustafi na Holding na pia Arsenal imepanga kusajili beki mwezi January.

Afisa mkuu anaeshughulikia usajili Sven Mislintat amekuwa akizunguka barani Ulaya kutafuta wachezaji na huenda mwezi ujao tukasikia habari nzuri za usajili.
 
Naomba kuuliza hili swali kwa mashabiki kindaki ndaki wa Ozil jee akiondoka Leo hii kuna pengo mnaliona ataliacha???Jee mnahisi Ozil yupo kwny mipango ya Emery???nikimaanisha jee ni mchezaji muhim kwa Emery kama ilivyokuw kwa Wenger?
Ozil anauguza majeraha... Arsenal bado inamhitaji sana Ozil kuliko yeye kuitaka Arsenal... The guy is still in form na ni msaada mkubwa kwetu... Mara zote jamaa is showing brilliant performance....
Kwenye UEFA atatufaa zaidi
 
Guendouzi’s season so far by numbers:

1,259 minutes
915 successful passes
68 accurate long balls
13 key passes
2 assists
70 duels won
35 fouls won
10 clearances
24 interceptions
4 blocks
1 goal

He’s hit the ground running. Was a great spot from Mislintat & co. for only £7m.
arsenal.legaxy-20181209-0001.jpeg
 
Toreira kaelekea madrid kuwacheki waamerika wenzake ,

Lucas Torreira has travelled to Spain to watch the Copa Libertadores final between Boca Juniors and River Plate at the Santiago Bernabéu Stadium in Madrid. #AFC #Arsenal
IMG-20181209-WA0035.jpeg
 
Anasema alimuona dogo anakimbia kimbia hovyo akasema its matter of teaching him when to run n when not
Yah, anakwambia anarekebishika ,

Pale bvb kawaleta kina Dembele kutoka mafichon huko,

Sasa hiv nangoja january nione anatuletea nani,

Hata Dino mavporo ni kazi yake huyu mtu
 
Yah, anakwambia anarekebishika ,

Pale bvb kawaleta kina Dembele kutoka mafichon huko,

Sasa hiv nangoja january nione anatuletea nani,

Hata Dino mavporo ni kazi yake huyu mtu
Jamaa anamacho sio siri wanamuita chief recruit nataman kuiona ilee arsenal strong tumetaabika sio siri
 
All times shown are your local timeLive stream available
Sunday 16 December 2018

  • Southampton13:30 ArsenalLive On
Saturday 22 December 2018

  • Arsenal12:30 Burnley
Wednesday 26 December 2018

  • Brighton17:15 Arsenal
Saturday 29 December 2018

  • Liverpool vs Arsenal


ratiba inaonesha kuwa tutafunga mwaka kwa kupeleka kilio kule anfield loserpulu na tutafungua mwaka na fulham tarehe 1 jan,naamini mwaka mpya tutakuwa katika nafasi 3 za juu............tuombe MUNGU ajaalie.....ComeOnYouGunnerz
 
GUENDOUZI WA ARSENAL ANANICHEFUA-BERBATOV

Mshambuliaji wa zamani wa Tottenham na Manchester United Dimitar Berbatov amesema kinda wa Arsenal Matteo Guendouzi anacheza vizuri mpaka inafika mahala anamkera kwa ubora wa kiwango chake.

Guendouzi mwenye miaka 19 amekua akicheza kwa kiwango kizuri tangu asajiliwe na Arsenal kwenye majira ya joto kwa ada ya paundi milion 7 tu (milioni 200 za kibongo). Akiongea na kituo cha SkySports Berbatov alisema

Uyu dogo ana miaka 19, lakini anavyocheza utadhani alizaliwa akicheza Uingereza, anacheza kama alikua hapa akicheza miaka mingi iliyopita.
Wakati mwingine natamani ningekuepo uwanjani ili nipambane nae kwa maana ananichefua kwa namna anavyojiamini uwanjani.

Anajiamini sana akiwa na mpira na yupo kila mahali uwanjani. Katikati utamkuta,pembeni,nyuma,mbele yupo kila mahali.
Unaweza ukawa na miaka 19 lakini ukawa na moyo na hulka kama ya mtu mwenye 24, haijalishi una umri gani linapokuja swala la kuonesha ubora kwenye mpira. Ndivyo alivyo Guendouzi.
Matteo Guendouzi ameichezea Arsenal mechi 13 katika mechi 16 za ligi kuu ya Uingereza. Kiwango chake bora kimewafanya wachezaji kama Mohamed Elneny na Aaron Ramsey kukaa benchi. Kama akipata malezi mazuri anaweza kua moja mmoja wa viungo bora ulaya kwa miaka inayokuja.

Kuna mshabiki mmoja wa Arsenal niko nae hapa. Sijui ni mlevi, anasema Matteo Guendouzi ni mzuri kuliko Michael Carrick.
arsenal.legaxy-20181209-0001.jpeg
 
Breaking: Fernando Calero agree personal terms to join Arsenal
Arsenal boss Unai Emery has identified a Real Valladolid defender as a perfect addition to his defence, according to reports in Spain.

Fernando Calero, a classy defender at the heart of Valladolid’s defence, is available for just €11million £9.9million) next month thanks to a clause in his contract at the LaLiga club.

Calero has caught the eye this season with a number of impressive displays, with the Gunners, Sevilla and Borussia Dortmund all reported by Cadena Ser to be keen.

But it is Arsenal who reportedly lead the way for the 23-year-old, with Emery identifying the defender as a ready-made replacement for the crocked Rob Holding, who was last week ruled out for the rest of the season.

Arsenal also have doubts over the long-term fitness of Laurent Koscielny, who although nearing a return, is entering the latter stages of his career.

As such, Cadena Ser report that Calero would prove a perfect signing for Emery, with the 6ft star comfortable in either a back three or a flat back four.

Valladolid, 14th in the LaLiga table, are keen to tie Calero down to a new deal, but with an agreement yet to be reached, would be powerless to prevent the player moving on if Arsenal, or indeed any other suitor, activated his bargain €11m exit clause.
 
Back
Top Bottom