Ramssy ni CM ila ana tatizo la kutorudi nyuma kusaidia timu inapokuwa imezidiwa.
Hilo ni tatizo kubwa sana alipokuwepo Arsene Wenger.
Ndio maana maelekezo kwake akiingia kipindi cha pili ni kucheza katikati mbele ya Torreira akiwasaidia Auba na Lacazette.
Ndio mtindo twaweza kuuita 3-4-1-2
Ni mtindo mzuri sana ambao Arsenal hutumia kipindi cha pili.