Ila hizi ni zama mpya chini ya kocha mpya.... Fikiria zaidi ya miaka kumi hatujawahi kucheza mechi zaidi ya kumi mfululizo bila kufungwa. Ni msimu huu tu ndo tumeweza... Na ndo maana naamini kuwa tutakuwa na matokeo mazuri tu kwa upande wetu leo
Mkuu Hawa akina Ramsey acha waondoke tu Unai alete wachezaji anaohitaji....Yaani Ramsey alipwe 200k per week??
Unamuona Torreira anachofanya hapo Kati?
Liver watalala na viatu ila hizi nafac Aesenal wanazopoteza inaweza kuwaghalimu na ukizingatia liver ni ma opportunist, wakipata nafac wataitumia then Arsenal wahangaike kutafuta sare.
Mkuu Hawa akina Ramsey acha waondoke tu Unai alete wachezaji anaohitaji....Yaani Ramsey alipwe 200k per week??
Unamuona Torreira anachofanya hapo Kati?