Kuna katabia wale wachezaji under AW wanako, kanaudhi mno, kanakera mpaka washindwa kumeza mate, wanapoondoka tu Arsenal, ghafla wako serious na kucheza mpira wa maana, wa kujituma, tunamshuhudia Theo Walcott leo!
mother***kers, ndorobo kabisa hao..
Kuna katabia wale wachezaji under AW wanako, kanaudhi mno, kanakera mpaka washindwa kumeza mate, wanapoondoka tu Arsenal, ghafla wako serious na kucheza mpira wa maana, wa kujituma, tunamshuhudia Theo Walcott leo!
mother***kers, ndorobo kabisa hao..
FT
Arsenal 2-0 Everton
Tumepata cleansheet leo safi sana,Cech na Torreira nimewaelewa sana game ya leo.
Numbisa tunaomba vile vi-clip vyetu tafadhali leo haujatutendea haki