Naming rights. Na ukomo wa kuitwa hivyo ulikuwa msimu wa 2016/2017 ila jamaa wa Emirates kwa ajili ya kutangaza biashara waliongeza mkataba wa naming right baada ya uke wa awali kumalizika.
Jina la uwanja hii sakata la pesa likiisha utaitwa ASHBARTON GROVE
Sent using
Jamii Forums mobile app