Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

FT
Arsenal 3-1 WHU
Alhamdullilah leo tunapata ushindi wa kwanza ingawa ni kwa tabu sana ila muhimu ni hizi pointi 3.
Ni lazima uwe ushindi wa tabu kwa ligi ya uingereza. Timu unazoona vibonde man akakaa man city kaishia sare tena akitokea nyuma. Angalia liver nyumbani pale pale wamenusurika hakuna kibonde uingereza.

Na hii ligi vigogo watadhalilishwa sana. Sasa nijuavyo mimi arsenal wanabebeaga points kwa hao. Akipata mwarobaini wa kuwakanyaga wazee wenzake ubingwa nje nje tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EPL hatari sana yaani imewafanya mashabiki wa Manure wamekua wapole kuliko maelezo wakati walikua wanajazana kwenye thread yetu na maneno ya kashfa leo kimyaaa wananyukana wenyewe kwenye uzi wao.
Khe khe khe khe khe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.....naona na ninyi mmefufuka. Ligi imeanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EPL hatari sana yaani imewafanya mashabiki wa Manure wamekua wapole kuliko maelezo wakati walikua wanajazana kwenye thread yetu na maneno ya kashfa leo kimyaaa wananyukana wenyewe kwenye uzi wao.
Nimewafuata huko huko nimewapa vidonge.Niliweka kambi kule kabla ya game yao na baada ya game ili kumaliza umbea wangu. Na bado tutaheshimiana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Group E
IMG_8459.JPG
 
Back
Top Bottom