Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Xhaka na Mkhitaryan waliflop sana mechi iliyopita. Nilidhani Toreira na Lacca wangeanza mechi hii. Ngoja tuone

We need to deploy Lacz and PEA kwa wakati mmoja,sielewi kwa nini Torreira yuko bench simply naiona kama weak line-up inawezekana ni kitete changu pia maana mwalimu anajua nini anafanya.
 
Yani kumbe siku ile tumetoka kufungwa na man city kocha Emery kwa hasira kaongea nao wachezaji kawambia mmecheza tofauti na nilivotaka na kesho yake J3 kaomba gemu na crystal palace ambayo ilichezwa pasipo kutolewa taarifa yeyote...duuuh kumbe ndo mana J4 hawakwenda mazoezini
Crystal palce ipi? Sio kweli labda reserves ya crystal.
 
Back
Top Bottom