barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,803
Perfomance za timu ktk mashindano ambayo hukutana kama UCL, europa, nani hufanya vizuri zaidi hata kufika mbali na pia wachezaji wa ligi hiyo wana mchango gani ktk timu zao za taifa.wekeni vigezo vya ubora wa ligi tupime hapahapa ubishi uishe
mfano mzuri SEVILLA,VALENCIA,VILLAREAL,REAL SOCIEDAD na ATHLETIC CLUB zikikutana na hizo top club za epl mziki wake mneneInakuwaje wewe kama uko ligi yenye upinzani, ukicheza na hao maboya wanakupeleka puta?? Iko hivi, EPL ina upinzani kwa timu zake zenyewe kwa zenyewe ila inapokuja wao kushindana na wa ligi nyingine wao ni maboya tu.
Alafu usochanganye haya maneno, yana tofauti kubwa sana. UBORA na MSISIMKO.
na ndio maana wanamtoa kwa mkopo ili waangalie huko atakapokuwa atabehave?Arsenal atatufaa kama hana nidhamu??
Sawa ila Arsenal sio timu ya kuchukua mtu kwa mkopo!na ndio maana wanamtoa kwa mkopo ili waangalie huko atakapokuwa atabehave?
mbona tushawahi chukua kwa mkopo lakini,kawaida kwa mchezaji aina ya dembeleSawa ila Arsenal sio timu ya kuchukua mtu kwa mkopo!
Klabu kubwa kuchukua mchezaji kwa mkopo tena mdogo ni kumtengenezea mpinzani wako silaha!mbona tushawahi chukua kwa mkopo lakini,kawaida kwa mchezaji aina ya dembele
Pumba.Acha ushabiki.
Ubora upime kwa kutumia mashindano wanayokutana, UEFA CHAMPIONS LEAGUE, EUROPA, na hata mashindano ya timu za taifa, wachezaji wanaoccheza ligi zipi kwa wingi timu zao hufanya vizuri.
ACHENI USHABIKI MANDAZI. Usilete ushahidi wa ETI liver mbona msimu huu kaingia fainali. Inakuaje Seville au Atretico Madrid timu inayojipapatua kujaribu kuvunja ufalme wa "timu mbili" Spain, zinasumbua timu kubwa za ligi zingine.
Bundesliga ni bora zaidi ya EPL, mahaba yako kwa EPL ni ya kwako wewe. Na Seria A itachukua nafasi ya EPL very soon.
Changanya na mashudu upate msosi wa broillers wako.Pumba.
mkuu kwan barca na Madrid zikikutana na hzo timu tajwa mziki wake unakuwaje..mfano mzuri SEVILLA,VALENCIA,VILLAREAL,REAL SOCIEDAD na ATHLETIC CLUB zikikutana na hizo top club za epl mziki wake mnene
mbona hata Madrid wanachukua mtu kwa mkopo...Sawa ila Arsenal sio timu ya kuchukua mtu kwa mkopo!
mkuu hata madrid wanachukua mtu kwa mkopoSawa ila Arsenal sio timu ya kuchukua mtu kwa mkopo!
kwa mantiki huyo,naona la liga pekee ndo aliyemzidi EPL.Perfomance za timu ktk mashindano ambayo hukutana kama UCL, europa, nani hufanya vizuri zaidi hata kufika mbali na pia wachezaji wa ligi hiyo wana mchango gani ktk timu zao za taifa.
Kawaje si huko anacheza UEFA lakini na ndio alichokifuata?? Apambane na hali yakekabadilika sana...namuonea hadi huruma...
cc tuna community shield mkuuKwani Mani yuu nao wanaongea humu ndani?? Wakae kimya tuu pamoja na kuwa na kikosi chenye wachezaji bora hata kombe la mbuzi hawajapata kama aseno tuu, kutoka makombe matatu msimu iliopita mpaka makombe bashite bora wakae kimya kuliko kujifanya mnamchambua Emery wetu
Eg. EMMANUEL ADEBAYOR TO MADRID ,JAMES RODRIGUEZ TO MUNCHEN,DOUGLAS COSTA TO JUVEmbona hata Madrid wanachukua mtu kwa mkopo...
ndiyo mkuu.....nashangaa wanaoona mkopo kitu cha ajabu..Eg. EMMANUEL ADEBAYOR TO MADRID ,JAMES RODRIGUEZ TO MUNCHEN,DOUGLAS COSTA TO JUVE
Duh, mkuu unasema nini?Sawa ila Arsenal sio timu ya kuchukua mtu kwa mkopo!