Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

...Ningekuwa nauwezo wa kusilimu, ningebadili timu ya kuishabikia, lakini ndio hivyo tena...! Tuombee tu aje Manager mwingine mwenye mtizamo tofauti na Arsene Wenger. Hii ni balaaaaaaa..............!!!
 
poleni sana, ni aibu kwa club kubwa kama Arsenal kufungwa na timu kama Wigan kwa kutoka nyuma 2 : 0. Huu ni uzembe mkubwa sana. Toka wachambuzi waseme Arsenal ananafasi ya kushindwa EPL eti kwakuwa amebakiza mechi rahisi ndo amekuwa akifungwa zote. Mechi ya leo mmefungwa kwa uzembe mkubwa, nahisi kuna matatizo ndani ya club.
 
hahahahahahahaha mpirani hakuna mtoto
kweli kabisa mkuu naona kaichoka timu na anatafuta sababu ya kufuzwa na board inamshikilia tu.saa nyingine ni vizuri kuwa na wachezaji wa uingereza wanaojua historia ya timu kuliko hawa watoto wakifaransa .


juzi na spurs hata sijui kama wanajua maana ya derby nini.leo wanaenda kuzarau utasema wao ndio nani.


timu hiuzwe tu nao watoto wengine wauzwe watu walete wachezaji ambao wako serious.watoto gani hawakui.
 
hehehehehehehehehe
...Ningekuwa nauwezo wa kusilimu, ningebadili timu ya kuishabikia, lakini ndio hivyo tena...! Tuombee tu aje Manager mwingine mwenye mtizamo tofauti na Arsene Wenger. Hii ni balaaaaaaa..............!!!
 
poleni sana, ni aibu kwa club kubwa kama Arsenal kufungwa na timu kama Wigan kwa kutoka nyuma 2 : 0. Huu ni uzembe mkubwa sana. Toka wachambuzi waseme Arsenal ananafasi ya kushindwa EPL eti kwakuwa amebakiza mechi rahisi ndo amekuwa akifungwa zote. Mechi ya leo mmefungwa kwa uzembe mkubwa, nahisi kuna matatizo ndani ya club.

tatizo liko kwa wachezaji,hawaoneshi kabisa moyo,hawajitumi wanacheza kupata cheki yao wamemaliza hawana mapenzi na timu wala nini.niliwacheka spurs kufungwa na pompey sasa imenirudia vibaya sana.
 
kweli kabisa mkuu naona kaichoka timu na anatafuta sababu ya kufuzwa na board inamshikilia tu.saa nyingine ni vizuri kuwa na wachezaji wa uingereza wanaojua historia ya timu kuliko hawa watoto wakifaransa .


juzi na spurs hata sijui kama wanajua maana ya derby nini.leo wanaenda kuzarau utasema wao ndio nani.


timu hiuzwe tu nao watoto wengine wauzwe watu walete wachezaji ambao wako serious.watoto gani hawakui.

Atambae zake bana....Ningekuwa na uwezo ningemfukuza leo hii hii....Sina imani naye tena....We fikiria mtu kama Robin Van Persie ni wa kumuingiza dakika ya 90????....pambaff kabisa,watu kama Diaby they are useless,wanakimbiakimbia tu na kupoteza mipira............aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaargh,inakera sana bana
 
arsene wenger na watoto wake wote hawako serious.wapumbavu watupu na wazembe mno.nilisema wazembe siku hapa nikashambuliwa na leo mtu hawatetee.wajinga sana.

...ahaa ha ha, duuuh yaani na donge langu lote lakini niliposoma Comment yako machungu yote yameisha kwa kicheko. Pole pole kaka, It is just a game!

R.I.P Suleiman Omondi, yaani hata jamaa angefufuka siku ya tatu sijui angekuwa keshajinyonga mara ngapi. I will NEVER sacrifice my life kwa Arsene Wenger's 'Faith'...!!!!
 
jamaa wanajua kukera fans wao sijawahi kuona.no excuses for this Arsene Wenger,mabadiriko lazima yaje na yaanzie kwa Wenger mwenyewe.
 
...ahaa ha ha, duuuh yaani na donge langu lote lakini niliposoma Comment yako machungu yote yameisha kwa kicheko. Pole pole kaka, It is just a game!

R.I.P Suleiman Omondi, yaani hata jamaa angefufuka siku ya tatu sijui angekuwa keshajinyonga mara ngapi. I will NEVER sacrifice my life kwa Arsene Wenger's 'Faith'...!!!!

mkuu kusema kweli wameniudhi sana.usmanov au kroenke achukue timu haraka sana.

yule omondi alijiua yeye fan wakati bendtner mwenzake alienda club,ndio maana nasema wachezaji hawa hawana mapenzi na timu kabisa wako pale kujifurahisha tu.
 
Atambae zake bana....Ningekuwa na uwezo ningemfukuza leo hii hii....Sina imani naye tena....We fikiria mtu kama Robin Van Persie ni wa kumuingiza dakika ya 90????....pambaff kabisa,watu kama Diaby they are useless,wanakimbiakimbia tu na kupoteza mipira............aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaargh,inakera sana bana

hile list kama ulivyosema ni ya kufungwa na mimi niliichukulia ya dharau.nilijua leo watakuja kwa speed kutafuta magoli mengi tupunguze gap kumbe kaenda kumueka nje van persie kisa kawadharau wigan.

nilikua na mtetea wenger sana na policy yake lakini naona yeye ndio kaichoka timu na wamfungulie mlango haondoke haraka sana.
 
Siku mbaya sana kwangu leo....Yanga nao washachapwa viwli na Simba na Wisdom ndhlovu has been sent off....Yanga are down to ten men..........dah
 
mkuu kusema kweli wameniudhi sana.usmanov au kroenke achukue timu haraka sana.

yule omondi alijua yeye fans wakati bendtner mwenzake alienda club,ndio maana nasema wachezaji hawa hawana mapenzi na timu kabisa wako pale kujifurahisha tu.

...Kwakweli...!

Time is up kwa Arsene Wenger, ni wakati muafaka kuanza kumtongoza Jose Mourinho, mwenyewe anahamu kurudi EPL. I hope kaburu Ivan Gazidis atatusaidia kwa hili. Arsene Wenger aende zake Real Madrid sasa, anajua Contract yake inaisha 2011 hana wasiwasi na pay cheque yake.

Chelsea wamefuraaahi, ha ha ha,....kuanzia sasa mpaka mwisho wa msimu nashabikia Man U...
 
Atambae zake bana....Ningekuwa na uwezo ningemfukuza leo hii hii....Sina imani naye tena....We fikiria mtu kama Robin Van Persie ni wa kumuingiza dakika ya 90????....pambaff kabisa,watu kama Diaby they are useless,wanakimbiakimbia tu na kupoteza mipira............aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaargh,inakera sana bana

Hata die harder lol! Boflo Bwabwa1 Wacha1 wako wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom