Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger anafaa aliangalie sana hili suala la penalties.....tumeruhusu 4 penalties in 3 matches kitu ambacho si cha kawaida...... Next gemu naamini mabadiliko yAtafanyika...
Gunners mpaka mwisho
 
Tuwe wakweli, Arsenal haiwezi kuchukua kombe lolote msimu huu, ikiwa chini ya Wenger. When you get old, your level of thinking dwindles down. He knows he cannot win epl and Europa league, even his chance of competing for top 4 is minimal, why field incompetent rubbishes. Kiukweli, wachezaji wa Arsenal wenye asili ya uingereza, ni takataka katika timu.
 
Tuwe wakweli, Arsenal haiwezi kuchukua kombe lolote msimu huu, ikiwa chini ya Wenger. When you get old, your level of thinking dwindles down. He knows he cannot win epl and Europa league, even his chance of competing for top 4 is minimal, why field incompetent rubbishes. Kiukweli, wachezaji wa Arsenal wenye asili ya uingereza, ni takataka katika timu.
Unaongea rubbish!!!!! Hujajishtukia tu bado???? Ulimwona Wenger anawakoach wachezaji leo????
 
Mechi kama hizi ni za kumaliza mapema kama man u na wengine walivyofanya sio kujiongezea tu idadi ya mechi zisizo za msingi sasa kapigwa goli zote hizo na mechi ya marudiano sidhani kama wanaweza kurudisha kirahisi hivyo.
Marudio kwani umesikia basketball hii.. pole sana hakuna marudio hapo ungetaka marudio mngetoka sare lakini kama ukipigwa ndio umetoka hiyo
 
114cbf6f95777cb37abbb4a913c6f4e3.jpg

Usajili mpya wa Aseno Jan
Kwa usajili huu lazima washiriki UEFA cCL
 
Tumechoka sasa, kila siku FA CUP wanabeba Arsenal tu kwani team nyingine azipo? bora tumefungwa
 
Kuna kila dalili hii mechi arsenal anashinda wanashambulia balaa.


Goal dikika ya 99 anafumua shuti kali pale Nwanko Kanu toka Nigeria sasa arsenal wanapata goli la 5 hivyo basi arsenal kaondoka na ushindi wa goli 5 madogo 4.

Ngoja tumuulize mwalimu kashasha analizungumziaje lile shuti la Kanu.
 
Kuna kila dalili hii mechi arsenal anashinda wanashambulia balaa.


Goal dikika ya 99 anafumua shuti kali pale Nwanko Kanu toka Nigeria sasa arsenal wanapata goli la 5 hivyo basi arsenal kaondoka na ushindi wa goli 5 madogo 4.

Ngoja tumuulize mwalimu kashasha analizungumziaje lile shuti la Kanu.
Limegonga nyuma yako likatoka nje!!!
 
Kuna sehemu nimetaja jina lako we aunt? Hasira za mlichofanywa huko forest usiniletee mimi huku
Aliyekuwa akitoa updates ni nan???? Halafu kwa nini haukusema tangu mwanzo kwamba huongei na Mimi???? Usilete dharau za kingoko hapa!!!! Peleka huko kwenu
 
Back
Top Bottom