mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Arsenal kajitakia tu bingwa mtetezi anatolewa na kitimu sijui cha daraja la ngapi wenger anadharau sana asee na keshanichania mkeka wangu.Ukifungwa umetoka. Marudiano ni sare tu!
Msijali hiki ni kikombe cha mbuzi tu.[/QUOTE ht kingekuwa kikombe cha mbwa hawezi chukua.
Arsenal kajitakia tu bingwa mtetezi anatolewa na kitimu sijui cha daraja la ngapi wenger anadharau sana asee na keshanichania mkeka wangu.
Naomba matokeo mkuu mmeshinda ngapi??.Ushindi lazima leo!!! Kombe letu hili......nafuatilia gemu live
Mzee wa njia panda ilemi kwema nzovwe man herepole boss sio ww tuu .mi pamoja na kumpa handicap kauchana
Hahahahahaha Unashabikia Kikundi cha Wapika GongoUshindi lazima leo!!! Kombe letu hili......nafuatilia gemu live
Hahahahahaha Unashabikia Kikundi cha Wapika GongoUshindi lazima leo!!! Kombe letu hili......nafuatilia gemu live